Nilivyo flatscreen nyuma siangaliwi kabisa.
Kaizer, thamani ya kondoo = Mkia, pia nyumba ni choo, Thankssasa hii 80% ilipatikanaje Mh. rais.....hoja inawezekana ina mashiko ila njio gani imekufikisha kwenye 80%sasa utashangaa, wale wa siasa kali hapa watakunanga mpaka basiIla raha ya kondoo......
usije kwetu manake kaka zangu watakuzonga sana ukinikosa home kama ndivyo ulivyokwani nikiwa mwembamba ndo nakuwa sina?
na wanene wote wana wowoowoooo?
mi mwembambaaaaaaaaaaa km nani sjui lakin apa nyuma nimebeba ngumi 9 za tayson !!!!
Rose ukiangaliwa na wanaume ni bahati ya pekee, maana unaita, kumbuka Adam alipoletewa Hawa alirukaruka sana, bila shaka alimwangalia nyuma pia, na hiyo ni nature lazima uangaliwe Rose wangu, ni gift adimu that is what makes life goes on & on & on dada yanguuo mtikisiko ndo ntauficha sasa na ungo..stak mie kuangaliwa!!!!
siaminiKila mwanaume au mwanamke anavigezo vyake vya kupendea so hapo naona hujatenda haki kwa kusema 80%..
Najivua Gamba ... mie vigezo vyangu haviangalii hiyo kitu unayotamka..
Rose ukiangaliwa na wanaume ni bahati ya pekee, maana unaita, kumbuka Adam alipoletewa Hawa alirukaruka sana, bila shaka alimwangalia nyuma pia, na hiyo ni nature lazima uangaliwe Rose wangu, ni gift adimu that is what makes life goes on & on & on dada yangu
usije kwetu manake kaka zangu watakuzonga sana ukinikosa home kama ndivyo ulivyo
AD experienced man like me, hata ufunike vipi, najua mzigo uleeeee, so we vaa vizuri tu dada yangu, we men tunaojua tuna an eagle eye kuhusu kuangalia, nguo zipo tu as a formality, nikirusha tu jicho nakwambia mzigo uleeeeeee, wallaahi sikosei, mzigo uleeeeeeHamni oni tena nafunga gunia kuanzia sasa..mmmhhhh
kuna slope...!!!!!!!
Marytina, thanks, nikwambie kitu, kama upo Dar, waangalie wanawake siku hizi hata wenye heshima, WANAKUFUNGIA KANGA MOJA au suruali au skate rojorojooo, utasahau njia ukiwa mwanaume usiye weza jicontrol, au unaendesha gari utapaki bure sehemu isiyo ruhusiwakwani wanakukpunguzia nini wape raha in case wewe sio mwembamba
asante kwa taarifa....skuizi ntakuwa natembea na ungo..nikiona nataka kupishana na wanaume basi najifunika na ungo pale nyuma...
Mhhh...., lakini thinking about it kama kwapa ni kichaka nadhani watu wataliangalia kwa kulishangaa kulishangaawengine wanaangalia kwapa...!!!!!!
Mhhh...., lakini thinking about it kama kwapa ni kichaka nadhani watu wataliangalia kwa kulishangaa kulishangaa
Wazo zuri ila angalia Ungo wenyewe usiwe umetoboka.
aiseee basi usishangae nikigeuka lol
Hi out there, salam salamWote tunajua, ila natia msisitizo na kukumbushana, hata (m)wanawake wanajua sana tu, wanapotembea au kupishana na wanaume au awapite (m)wanaume, huangaliwa kwa nyuma zaidiii, hasa makalio, na utaona demu mnapishana atajua tu anaangaliwa kwa nyuma, sasa awe na wowowo, ni balaa, macho yote = nyuma yake, kama mzoefu kwa mambo ya wakubwa avae transparent hivi, hata ukiwa na demu wako utajidai kamba ya viatu imelegea uiname umcheki kwa nyuma, kumbe uzuri mwingi wa mwanamke utaujua ukimcheki kwa nyuma basi, hasa makalio, je yupo flexible, rigid, makalio na kiuno huzungumza mengi sana kuhusu mwanamke,nimesikia wengine wanaweka ya bandia, ila akiwa na mtikisiko usiseme, karibuni
Hamni oni tena nafunga gunia kuanzia sasa..mmmhhhh