...Spot on fundi mchundo, utadhani Mohammed Atta na wenzake kwenye shambulio la 9/11 walivaa makanzu na kufuga madevu. .... eti tu kwakuwa mtu kavaa kanzu na midevu au hijjab maana yake ni terrorist.
Ndiyo maana airport security walimwachia apite kiulaini wakidhani M. Atta ni muungwana. Kumbe, laah! kosa. Jasiri haachi asili! Kaacha kuvaa kanzu, hakuacha asili!!
Ama kwa hakika wewe kweli ni Bubu ( wa akili?)
Hao unawatetea kuwa walikuwa wanachagua sehemu ya kukaa kwenye ndege kwa kuongea? nani alikwambia walikuwa wakiongea ili kila mtu kwenye ndege asikie? Jamaa wamesikia hao wafilisti wakinong'onezana and it was not clear to them na wazo walokuwa nalo ni kuwa jamaa labda wana-plan kutekeleza zile hate verses za KKKoran..
Ninachozungumzia ni kuwa hata kwenye Copy and Paste yako umeandika kuwa suala la kuahirisha safari na kuwatema ma-suspects liko reserved to the PILOT na procedure za kuiscreen ndege ni jambo la kawaida na linatakikana, naona hii ni ngumu kwako kuelewa sijui kwa nini...
Kuhusu kuomba radhi..Hivi unajua shirika la ndege liliomba radhi kwa sababu zipi? Kwa sababu ya kufanya screening ? No ! Wanaomba radhi for inconvenience cause which was necessary anyway ..thats it! Soma hapa kwenye Copy and Paste yako:
Hii sentensi inafanya hoja zako kuwa za ajabu walahi...!
Bw. Upupu wa utindiowaubungo kwako wewe hata habari zilizoandikwa na shirika kubwa la habari duniani CNN ambalo lina credibility kila kona ya dunia ni upupu tu, kisichokuwa upupu ni chochote kile kinachoandikwa na Bw Upupu wa utindiowaubongo...ha ha ha ha,
Inabidi urudi shule ukajifunze jinsi ya kudebate na watu badala ya kuandika upupu uliojaa madudu kibao. Huna hoja na ukigundua huna points za maana basi kila kitu kwako ni upupu tu kumbe wewe ndiye mtoa upupu wa kwanza hapa ukumbini.
Umejaa chuki za kutisha dhidi ya Waislamu sijui walikukosea nini mpaka uwachukie kiasi hicho!!! Bahati nzuri Tanzania hatuna watu wenye chuki kama zako na Maxshimba dhidhi ya waislamu na waarabu vinginevyo mngeshavamia misikiti yote kuwaua Waislamu siju kwa kosa lipi hasa. Waislamu na Wakristo wanashirikiana kila siku kwa mambo mbali mbali ikiwa ni ya furaha au ya majonzi na hata kuoana bila kujali tofauti ya dini zao.
Hakuna binadamu yeyote ajuaye ni dini gani bora kati ya dini zetu mbili kubwa nchini, mwenye kujua hilo ni Mungu pekee. Hata Rais mteule Obama ameona umuhimu wa kukaa na 'maadui' wa Marekani including waislamu waarabu wa Iran ili kujadili tofauti zao ili kufikiana muafaka, na wewe na Maxshimba kuna haja ya kukaa meza moja na Waislamu ili kuwafahamishe chuki zenu za kutisha dhidi ya Wailslamu na Waarabu zimesababishwa na nini hasa labda wanaweza kuwasaidia mkapunguza au kuziondoa chuki zenu dhidi yao.
Life is too short to waste my precious time with your stupidity Mr. Upupu wa Utindiowaubongo.
Therefore this my last contribution and I'll never engange in any debate with you again on this board. Have a lovely and enjoyable weekend....Peace!!!!
Acha fitna.Kama walikunyima mikeka kuna sababu nyingine siyo Ukrito wako.Huu ni mfano wa kutaka kufitinisha dini hizi mbili na wafuasi wake maana kuna mifano mingi ya kushirikiana katika mazishi kati yao.
Pole sana mkuu......kweli wanyenyekevu wana kasumba hiyo sishangai......Mimi nilipofiwa na mke wangu hapa DSM majirani walienda kuazima mikeka kwa ndugu zetu Waislamu mtaa fulani na wakakataa wakisema hawawezi kuazimisha vitu vyao kwa makafiri. Lakini kukiwa na sherehe za madrasa huwa wanakuja kuomba michango na tunawapa.
Mkuu una kichwa cha nazi huelewi magobe kasema kanyimwa sababu yeye ni kafiri(si mnyenyekevu aka mla kitimoto) wewe unabisha bado...lol kiboko yenu TossiAcha fitna.Kama walikunyima mikeka kuna sababu nyingine siyo Ukrito wako.Huu ni mfano wa kutaka kufitinisha dini hizi mbili na wafuasi wake maana kuna mifano mingi ya kushirikiana katika mazishi kati yao.
Ha ha ha.. I understand why..najua maumivu yakipona utasahau. Kuna wasilamu wenzako walijaribu kufanya kama wewe lakini sasa hivi wooote wapo kwenye mstari, na nawapa dozi kama kawa..
LOL!...There you go again with your stupidity, Mr. Upupu wa utiwaubongo!
I have become a muslim by just defending those innocent people!!
This shows how low is your thinking capacity.
This fyongo was too difficult to pass..ha ha ha ha
Enjoy the remainder of your weekend 🙂
[media]http://www.youtube.com/watch?v=64EjuSEXsYg[/media]
LOL!...There you go again with your stupidity, Mr. Upupu wa utiwaubongo!
I have become a muslim by just defending those innocent people!!
This shows how low is your thinking capacity.
This fyongo was too difficult to pass..ha ha ha ha
Enjoy the remainder of your weekend 🙂
Akili BUBU,
Hii pia itakufaa sana kwa ajili ya wekeend yako pia..Mshabiki wa dini ya Waarabu
[media]http://uk.youtube.com/watch?v=AKf_zZSSI7s&NR=1[/media]
Shukran..
Most of terrorist are Muslim but not all Muslim are terrorists piga ua garagaza kataa pinga rusha chupa huo ndio ukweli.
The reality is this, all Muhammadans, suicide bombers, Islamic fundamentalists, jihadists, beheaders etc are all true Muslims who follow the Quran and hadiths in Toto and this hero of Islam interprets the Quranic verses and hadiths as per the needs of Islamic Umma, and of course, as per the real spirit of medieval stupid Islam. In fact, gullible Muslims consider O B Laden as the mirror image of Marehemu Mtume Muhammad and many things about him (OBL) are 100% compatible with the life and deeds of Islamic prophet Marehemu Muhammad.
That is why true Muslims (Maulanas, Mullahs, Madrassha students [Talibans], all leaders of Islamic political parties) of Pakistan, Bangladesh, Indonesia, and other Muslim countries are supporting O B Laden and his host, the Taliban of Afghanistan. Its totally irrelevant and useless to claim that Osama, al-Qaeda terrorists and Taliban are not true Muslims, or they are Muslims by their distorted views of Islam! Actually, they are the real Muslims, and they are the Muslims by the book. All others so called progressive Muslims (living in the western comfort) are simply Muslims by virtue of their birth in a Muslim family.
Time has arrived now to identify the real cause of this ancient medieval islamic stupidity. The real problem is with the ancient Bedouin teachings of Islam (read Quran) which are outdated and no longer fitting todays civilized world. Islamic terrorism is the giant problem of entire mankind today and fanatic Muslims are the zombies at the hands of immoral Quarnic teachings as the ones of JF. How can one cure a body by keeping the cancerous lesion inside the body? Nothing can change this precarious situation of Muslims unless they realize the real problem (is the Quran and Marehemu Mtume Muhammad,) and take care of it.
IRA, Ulster Volunteer Forces, Laurent Nkunda, Tamil Tigers,Babbar Khalsa ETA etc. not forgetting that most Catholic of Organisations the Cosa Nostra!
BTW, I know you said MOST but all faiths have a lunatic fringe, not only Muslims.
Mr.Upupu wa utiwaubongo,
LOL!...Sasa nimekuwa mshabiki wa dini ya waarabu!!!! 🙂 Hivi unajua kuna waarabu wengi tu ambao siyo waislamu, na pia kuna waafrika, wazungu, wahindi n.k. ambao ni waislamu?
Hebu tuambie Waarabu na Waislamu walikukosea nini hasa mpaka ukawa na chuki kama ya Adolf Hitler dhidi yao? Labda baadhi hapa ukumbini wanaweza kukuelewa nini hasa ni kiini cha chuki yako dhidi ya waarabu na waislamu maana huwezi mtu ukachukia watu aina fulani au dini kiasi hicho bila kuwa na sababu zozote za msingi.
[media]http://www.youtube.com/watch?v=ftlYLcEW_I4[/media]
BAK
...BTW, I know you said MOST but all faiths have a lunatic fringe, not only Muslims.