Mkuu ashakum si matusi,hapa sio kwenye lecture au kwenye mtihani,its like ur writing a text message. Hakuna kujali sana grammar.Pamoja na hvyo angalia thread yangu nimetumia kasimu kangu ka mchina sijatumia pc thats why some of writing rule are bleeched.Mi mwl mahili ndani ya rock city nimeamua kurudi nyumbani baada ya shuruba pale green acres.
Mkuu wenger,wangekubali maombi yangu ningelalamikia mambo mengine kwa sababu nimetaja mambo kadhaa ambayo hayaendi sawa.Kwa great thnkers lazima nije kupata ushauri na maoni mbalimbali,mi inaniuma kuona taaluma niliyosomea inadhalilishwaNimekupata mkuu, nilijaribu kuangalia upande wa pili wa shillingi,je kama wangekubalimaombi yako ungekuja kutoa malalamiko?
Umetusaidia sana mkuu kwa habari na tunashukuru sana kwa kucheza "Mourhino" style lol.
Mdada wewe ovyo, kwanini unapenda kupondea wenzako kwa mambo ya ovyo ovyo, kiswahili hakuna "mwalim" ni "mwalimu" kama kiarabu sawaHivi wewe Mwalim kweli? au uliingilia tu kazi za watu? Tazama ulivyoandika, spellings unakosea, hujui pa kuweka "coma" wala "full-stop", uandishi wenyewe hohehahe! ama kweli, shule zimeingiliwa. Ni aibu wewe kusema kuwa u Mwalim.
Mkuu ashakum si matusi,hapa sio kwenye lecture au kwenye mtihani,its like ur writing a text message. Hakuna kujali sana grammar.Pamoja na hvyo angalia thread yangu nimetumia kasimu kangu ka mchina sijatumia pc thats why some of writing rule are bleeched.Mi mwl mahili ndani ya rock city nimeamua kurudi nyumbani baada ya shuruba pale green acres.
Kwa jinsi unavyoandika, kama ni Mwalim sijui hao wanafunzi wako wakoje? Ee Mola wangu niepushie wanangu kufundishwa na Mwalim huyu.
Hivi wewe Mwalim kweli? au uliingilia tu kazi za watu? Tazama ulivyoandika, spellings unakosea, hujui pa kuweka "coma" wala "full-stop", uandishi wenyewe hohehahe! ama kweli, shule zimeingiliwa. Ni aibu wewe kusema kuwa u Mwalim.
nyie ndo wanafunz vilaza,
Hivi wewe Mwalim kweli? au uliingilia tu kazi za watu? Tazama ulivyoandika, spellings unakosea, hujui pa kuweka "coma" wala "full-stop", uandishi wenyewe hohehahe! ama kweli, shule zimeingiliwa. Ni aibu wewe kusema kuwa u Mwalim.
Ikiwa Mwalim ndio hivyo wanafunzi utawalaumu vipi? Unanchekesha.
Ikiwa Mwalim ndio hivyo wanafunzi utawalaumu vipi? Unanchekesha.
kuhusu wanafunzi kulazimishwa kusoma,huoni watoto wa shule za kifungilo wanafaulu sana kwa sababu kusoma ni ratiba? ma-genius wako huko st gvt,mwaka mzima hakuna mwalimu wa chemistry na genius anaruka na C (a-level0, na kwa o-level B inapatikana tu kwa madaftari ya washkaji!