“90 killed and 300 injured” in Israeli strike on Gaza “humanitarian area” | BBC News

“90 killed and 300 injured” in Israeli strike on Gaza “humanitarian area” | BBC News

Israel anazingua anawaonea huruma watu ambao ni evil... anawaacha and akigeuka nyuma wanamzomea...

Wanaomba maongezi akikubali wanasemema amenywea.. Dawa.. Kamati ya Vita ya this time inawakomesha wajinga wote na mashabiki wao... Aljazeera kajitahidi mno watu wakaamini mtihani sasa watu wakifuatilia wanakuta ni uongo...

Kama hili tukia Mohamed Dief na wenzake wamefuatiliwa wakiwa hapo wamejichanganya na maeno salama kwa uoga wa kupigana wameangushiwa vitu vizito wakijua upuuzi wao ule ule wa kujifica kwa raia na idadi wamezidisha eti 90 vipande vipande, tunajua raia wenyewe wa Gaza walishautangazia uma kuwa na wao ni wamoja walipokuwa wakibaka na kuiba hadi baiskeli za wana vijiji wa kibutz
 
Mlengwa wa hilo shambulio alikua nani? Na kwanini wanajificha kwa raia?
Walengwa ni magaidi, mi sidhani kama kuna raia kule.

Niliona video wamemuua mwanajeshi mmoja wa Israel, wanashangilia kama ushindi wa goli finali za FIFA, washangiliaji ni wote, vitoto,vibabu, waanawake na vijana wa kiume na kike, halafu wameshika bunduki mikononi.

Lakini wachambuzi wa kiislam watakwambia Israel huwa inapiga na kuua wanawake na watoto tu. Sijui vijana wa kiume na watu wazima huwa wanajificha wapi?
 
Israel anazingua anawaonea huruma watu ambao ni evil... anawaacha and akigeuka nyuma wanamzomea...

Wanaomba maongezi akikubali wanasemema amenywea.. Dawa.. Kamati ya Vita ya this time inawakomesha wajinga wote na mashabiki wao... Aljazeera kajitahidi mno watu wakaamini mtihani sasa watu wakifuatilia wanakuta ni uongo...

Kama hili tukia Mohamed Dief na wenzake wamefuatiliwa wakiwa hapo wamejichanganya na maeno salama kwa uoga wa kupigana wameangushiwa vitu vizito wakijua upuuzi wao ule ule wa kujifica kwa raia na idadi wamezidisha eti 90 vipande vipande, tunajua raia wenyewe wa Gaza walishautangazia uma kuwa na wao ni wamoja walipokuwa wakibaka na kuiba hadi baiskeli za wana vijiji wa kibutz
Usrahell ushindi pekee anaoweza nikuua wanawake na watoto wasiokua hata na manati
Walileta propaganda kwamba kuna diofu sijui bekam kajificha pale leo yuko wapi
Usrahell kuitokomeza hamas tulishawaambia tokea awali hawezi na hatakaa aweze
Jeshini mmejazana ma lgbtq+ mpaka fans wao wategemee kuwashinda hamas wanaume watupu musahau
 
Walengwa ni magaidi, mi sidhani kama kuna raia kule.

Niliona video wamemuua mwanajeshi mmoja wa Israel, wanashangilia kama ushindi wa goli finali za FIFA, washangiliaji ni wote, vitoto,vibabu, waanawake na vijana wa kiume na kike, halafu wameshika bunduki mikononi.

Lakini wachambuzi wa kiislam watakwambia Israel huwa inapiga na kuua wanawake na watoto tu. Sijui vijana wa kiume na watu wazima huwa wanajificha wapi?
Ukiambiwa ulete video utaanza sarakasi
Israhell ushindi wake nikupambana na watoto na kina mama tuliwaambia hamas haiwezi mukawa munabisha
 
Ukiambiwa ulete video utaanza sarakasi
Israhell ushindi wake nikupambana na watoto na kina mama tuliwaambia hamas haiwezi mukawa munabisha
Nakumbuka hata wakati wa Sadam Hussein alisifiwa mwishowe alinyongwa
 
Back
Top Bottom