Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walengwa ni magaidi, mi sidhani kama kuna raia kule.Mlengwa wa hilo shambulio alikua nani? Na kwanini wanajificha kwa raia?
Usrahell ushindi pekee anaoweza nikuua wanawake na watoto wasiokua hata na manatiIsrael anazingua anawaonea huruma watu ambao ni evil... anawaacha and akigeuka nyuma wanamzomea...
Wanaomba maongezi akikubali wanasemema amenywea.. Dawa.. Kamati ya Vita ya this time inawakomesha wajinga wote na mashabiki wao... Aljazeera kajitahidi mno watu wakaamini mtihani sasa watu wakifuatilia wanakuta ni uongo...
Kama hili tukia Mohamed Dief na wenzake wamefuatiliwa wakiwa hapo wamejichanganya na maeno salama kwa uoga wa kupigana wameangushiwa vitu vizito wakijua upuuzi wao ule ule wa kujifica kwa raia na idadi wamezidisha eti 90 vipande vipande, tunajua raia wenyewe wa Gaza walishautangazia uma kuwa na wao ni wamoja walipokuwa wakibaka na kuiba hadi baiskeli za wana vijiji wa kibutz
Ukiambiwa ulete video utaanza sarakasiWalengwa ni magaidi, mi sidhani kama kuna raia kule.
Niliona video wamemuua mwanajeshi mmoja wa Israel, wanashangilia kama ushindi wa goli finali za FIFA, washangiliaji ni wote, vitoto,vibabu, waanawake na vijana wa kiume na kike, halafu wameshika bunduki mikononi.
Lakini wachambuzi wa kiislam watakwambia Israel huwa inapiga na kuua wanawake na watoto tu. Sijui vijana wa kiume na watu wazima huwa wanajificha wapi?
Acheni ugaidi mtakwishaUkiambiwa ulete video utaanza sarakasi
Israhell ushindi wake nikupambana na watoto na kina mama tuliwaambia hamas haiwezi mukawa munabisha
Mlengwa wa hilo shambulio alikua nani? Na kwanini wanajificha kwa raia?
Achen ugaidi mtakwisha sheikh, israel mstaarab sana mnamtafuta wenyeweMoyo umeumia na macho yanatoa machozi. Na wala hatusemi ila analoliridhia Allah
Hakika sisi ni wa Allah na hakika kwa Allah tutarejea.
Mbona wewe hujakwisha licha yakua hujaacha lgbtq+Acheni ugaidi mtakwisha
Nakumbuka hata wakati wa Sadam Hussein alisifiwa mwishowe alinyongwaUkiambiwa ulete video utaanza sarakasi
Israhell ushindi wake nikupambana na watoto na kina mama tuliwaambia hamas haiwezi mukawa munabisha