90% ya Matatizo yetu ni kwasababu tunadharau mambo haya

90% ya Matatizo yetu ni kwasababu tunadharau mambo haya

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241118_145036_Google.jpg

Wakati mwingine usiogope kuwa peke yako katika baadhi ya mambo,kwani inakufanya uwe na nguvu na kufahamu uwezo wako

Kadri unavyojifahamu wewe binafsi ndio utagundua hauhitaji mchango wa watu wengine

Tunapata hofu pale tunapokaa tu lakini tunaishinda hofu kwa vitendo

Simama na pambana na hofu yako kabla haijakushinda

Ukitaka kufanya makosa basi omba ushauri kwa kila mtu

Kuwa makini pale unapojiongelesha mwenyewe kwani huwa unasikiliza pia

Utapata majaribu katika maisha kabla maisha hayaja kubariki

Miujiza ambayo huwa unaitafuta ipo katika kazi au mambo unayo yakataa

Ukijiona kama unajiuliza mara kwa mara kama jambo fulani ni sahihi,basi jua jibu ni hapana

Kutojiwekea mipaka katika maisha ni kukaribisha kutokuheshimiwa

Ni hayo tu!
 
Naona umerudi bwana chawa.

Unamjua Lucas Mwashambwa?
 
View attachment 3155340

Wakati mwingine usiogope kuwa peke yako katika baadhi ya mambo,kwani inakufanya uwe na nguvu na kufahamu uwezo wako

Kadri unavyojifahamu wewe binafsi ndio utagundua hauhitaji mchango wa watu wengine

Tunapata hofu pale tunapokaa tu lakini tunaishinda hofu kwa vitendo

Simama na pambana na hofu yako kabla haijakushinda

Ukitaka kufanya makosa basi omba ushauri kwa kila mtu

Kuwa makini pale unapojiongelesha mwenyewe kwani huwa unasikiliza pia

Utapata majaribu katika maisha kabla maisha hayaja kubariki

Miujiza ambayo huwa unaitafuta ipo katika kazi au mambo unayo yakataa

Ukijiona kama unajiuliza mara kwa mara kama jambo fulani ni sahihi,basi jua jibu ni hapana

Kutojiwekea mipaka katika maisha ni kukaribisha kutokuheshimiwa

Ni hayo tu!
Kuna watu wako kwenye magrup kama 10 ya wasap na yote wanachamgia misiba

Hii yote ni hofu tu
 
Back
Top Bottom