90% ya wafanyakazi wa Serikali wanapiga soga na story maofisini. Je, tunawalipa mishahara ya bure?


Ofisini sio mahabusu, ukiona taasisi ambayo wafanyakazi hawazungumuzi, hapana tija hapo ni kama wanabahatisha kazi. Mahala pa kazi mazungumuzo ni nyenzo ya utendaji katika kazi.

Na nyie mnaofikiri kazi ni kukimbiakimbia na mafaili ndio hamzalishi. Wewe ukiona wanaongea pamoja roho inakuuma unafikiri ni soga kwa sababu haujui kazi yako, mzembe, hauna kasi muda wote uko bize hauna tija hata mtu akitaka kukuuliza au kukuelekeza jambo unadai uko bise atakuchelewesha matokeo yake, output zero na siku zote watu wanakuona uko bize.
 
Akuna mshahara wa bure,mwajiri wake ndiye anapaswa kumsimamia huyo Mwalimu ili atimize majukumu yake ya kufundisha,Sasa mwajiri kila yuko ulaya kula bata kisingizio cha kuomba misaada na mikopo kitu ambacho kingefanyika hata ukiwa hapa nyumbani uku ukisimamia kwa ukaribu wateule wako watimize majukumu mliojipangia.Mwanadamu yeyeto pasipo usimamizi hawezi fanya chochote, shule za private zinafanikiwa kwasababu waajiri wao wanawasimamia vizuri.
 
Hao wafanyakazi wamekizi vigezo vya waajiri wao na wanapaswa kuongezwa mshahara kulingana na hali halisi ya maisha. Kama hawafanyi kazi ipasavyo, waambie waajiri wao wawawajibishe ila sio kuwapa mazingira magumu ya kufanya kazi.
 
Hao wafanyakazi wamekizi vigezo vya waajiri wao na wanapaswa kuongezwa mshahara kulingana na hali halisi ya maisha. Kama hawafanyi kazi ipasavyo, waambie waajiri wao wawawajibishe ila sio kuwapa mazingira magumu ya kufanya kazi.
Hakuna kitu, hawataki waache
 
Mleta mada una hoja kubwa sana ila utapigwa mawe kweli kweli kwa kusema ukweli. Serikali inatakiwa kubaki na 40% tu ya wafanyakazi. Mfano receptions wote waondoke. Masekretary hawana tija fyeka wahasibu bakiza 20% tu na kada nyingine. ICT ina solutions nyingi kwa sasa. Unakuta mtu ameajiriwa kwa wiki mzima kuandika barua mbili ambazo na zenyewe ni hovyo. Nakuunnga mkono 1000% . POVU RUXAAAA
 
Muulize mkaguzi mkuu wa zamani Prof Musa Juma Assad

Assad alishasema inatakiwa watumishi wa uma wengi wawe washout,

Capability ya watumishi wengi ni ndogo sana
 
Kwa vigezo vipi?, Maana kuna viongozi wao, na pia kuna tool maalum za kufuatilia ,kama wanazembea alafu hawaonekani basi kuna maali wenyewe wamelegalega.
 
Kwahiyo wewe huwa unatembea nchi nzima kila siku saa 1 :30 hadi saa 9:30 kwenye ofisi za serikali na kuwakuta wakiwa wanapiga soga?
 
Hao jamaa huwa wanaboa sana na wanajiona special sana, umeandika facts, pia sioni kazi ya wakuu wa mikoa na wilaya maana wapo kisiasa tu kama una RAS na DAS, tupunguze matumizi mabaya ya Serikali
Unganeni na Serikali kuwapiga pin hakuna salary increase zaidi ya serikali ilichowapa..
 
Mnalipwa sh ngapi kufunika hili la 23%
 
Ubovu wa huduma unaanzia kwa watawala maana wamejaa porojo tupu na kulipana posho bure, wabunge wanafanya kazi gani mpaka walipwe pesa ndefu? kugonga meza nayo ni kazi? tufumue kwanza huu mfumo ovu wa kulea wavivu kuanzia juu kushuka chini
Una wivu wa wabunge

Hujui wabunge ndo wanaotunga sheria, na kusimamia bajeti husika kupitishwa
 
Katika nyakati nimrkudharau ni wakati huu, nyie ndio wale ambao hamjawahi kuwa na shukra, eti hatuna maendeleo tangu uhuru wakati nchi nzima ina barabara za rami, hospitali mikoa na wilaya zote nk. Kama umetumwa ili wafanyakazi tumchukie Mama umenoa, tunamoenda tu hata asipotuongezea lakini katupa uhuru tunaongea .Umetushindwa .
 
Haya, basi wafukuze kazi wote! Au mshahara wanaolipwa ni wa kupiga soga ofisini?
 
Mkuu

Hilo mmegundua Baada ya 23.3% kufeli!!?

Hebu imba WIMBO HUU na uache uzuzu;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!

"Samiah jiuzulu Sasa nchi imeshakushinda, ulambaji asali umekuponza"!
 
Kwenye hiyo 90 percent, ondoa wa afya, kiukweli tunawaonea sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…