95% ya vijana wa sasa hawawezi kuongea kiswahili fasaha kwa dakika 5. Vijana wa kike hali ni mbaya zaidi.

Well said mkuu but any way let us to speak kingreza ni lugha safi.

Think twice
 
Mimi nalia na hawa waandishi wa habari za luninga na radio, ndio wanaongoza kwa kukibananga kiswahili...mfano imekuwa sasa ni mazoea kumsikia mwandishi wa habari wa radio au luninga au hata kusoma kwenye gazeti..mwandishi akiandika au kusema..." mwanamuziki fulani ametoa nyimbo mpya iitwayo SIZONJE"
 
Wanakosea wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sawa lakini mbona hiyo asilimia ni kubwa mno? Kama Kiswahili ni hivyo sijui Kiingereza kitakuwa hali gani. Mungu ibariki Tanzania na watu wake
 
Wanakosea wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapokosea ni kutumia neno NYIMBO (hili humaanisha wingi) badala ya WIMBO (umoja)...kama wanasema au kuandika ametoa nyimbo ni lazima iwe ni kuanzia mbili na kuendelea, kama ni pungufu yaani moja ni WIMBO...sahihi ni kusema "ametoa wimbo unaitwa SIZONJE"
 
Siwezi kuwalaumu vijana; nalaumu watunga sera kwa kuwa ndo hawana dira.
 
The problem is, u dont know what Swahili is made of. Swahili is a language that spontaneously evolved from Bantu languages, Arabic, German n English.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hata wewe hivyohivyo mkuu
you nou ofcoz,akchuare sikwenda.but nilicome back kupick watoto,na kuwadrop nyumbani.

aisee kama unaongea hivi popote ulipo kmayo.
 
maneno haya katika sentensi huwa yananicha hoi!
1. Naniliu!
2. ziki badala ya Dhiki
3. Mesali badala ya methali
4 Form sreee badala ya form three
5. na jmengine mengi
ila kumi ni kiswangilish tena broken kwelikweli!!
' of course nita kuremind' mlitravel kwa usafiri gani? heheee na mengine meengi
 
I AM DUDUBAYA, THE MAMBA, KONKI KONKI KONKI MASTER, OILCHAFU HUWEZI KUICHAFUA.

Mfano mzuri.
 
Nadhani kwa kuwa kiarabu kimefungamanisha na dini fulani ndio maana akapendekeza kiswahili.
unaficha nini sema tu Uislam unawaogopaogopa nini hawa, hata huko uarabuni hawawapendi, wanaitwa kaffir tu kama sisi. na wao walivo w
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…