Financial Market 255
Member
- Jul 19, 2021
- 15
- 52
Mpendwa mwekezaji,
Je, umekuwa ukitafuta njia salama na yenye uhakika ya kukuza mtaji wako?
.
Kama Jibu ni Ndio, Basi Hii Hapa 👇Habari Njema Kwaajili Yako!
.
Serikali Ya Tanzania Kupitia Benki Kuu
Leo Itakuwa na Mnada wa Hatifungani ya Miaka 15 Yenye Riba Ya 14.50%
.
Hii ni sehemu Salama kabisa ya Kuwekeza
Ya Kuwekeza Pesa Zako!
.
Kwa Nini Uwekeze Kwenye Hatifungani Hii?
✅ Faida kubwa: Unapata riba ya 14.50% inayolipwa mara mbili kwa mwaka (Septemba 06 na Machi 06).
✅ Hakuna Kodi: Faida yako yote haina makato ya kodi.
✅ Uwekezaji wa Uhakika: hii Ni hatifungani ya serikali, kwahiyo ni salama na inatoa Riba ya uhakika kwa muda wa miaka 15.
✅ Fursa kwa Wote: Watanzania, diaspora na wanajumuiya ya Afrika Mashariki wanaruhusiwa kushiriki.
✅ Urahisi wa kuuza: Baada ya mnada wa awali, unaweza kuuza hatifungani yako kupitia Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE).
✅ Kiwango cha Kuanza Kuwekeza: Ni TZS 1,000,000 pekee!
.
Na...Ikiwa unatamani kushiriki Kwenye mdana kama Huu na Unataka kujua zaidi? DM "HATIFUNGANI"👇 nitakuelekeza!
Uwekezaji Katika Hatifungani za serikali
Je, umekuwa ukitafuta njia salama na yenye uhakika ya kukuza mtaji wako?
.
Kama Jibu ni Ndio, Basi Hii Hapa 👇Habari Njema Kwaajili Yako!
.
Serikali Ya Tanzania Kupitia Benki Kuu
Leo Itakuwa na Mnada wa Hatifungani ya Miaka 15 Yenye Riba Ya 14.50%
.
Hii ni sehemu Salama kabisa ya Kuwekeza
Ya Kuwekeza Pesa Zako!
.
Kwa Nini Uwekeze Kwenye Hatifungani Hii?
✅ Faida kubwa: Unapata riba ya 14.50% inayolipwa mara mbili kwa mwaka (Septemba 06 na Machi 06).
✅ Hakuna Kodi: Faida yako yote haina makato ya kodi.
✅ Uwekezaji wa Uhakika: hii Ni hatifungani ya serikali, kwahiyo ni salama na inatoa Riba ya uhakika kwa muda wa miaka 15.
✅ Fursa kwa Wote: Watanzania, diaspora na wanajumuiya ya Afrika Mashariki wanaruhusiwa kushiriki.
✅ Urahisi wa kuuza: Baada ya mnada wa awali, unaweza kuuza hatifungani yako kupitia Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE).
✅ Kiwango cha Kuanza Kuwekeza: Ni TZS 1,000,000 pekee!
.
Na...Ikiwa unatamani kushiriki Kwenye mdana kama Huu na Unataka kujua zaidi? DM "HATIFUNGANI"👇 nitakuelekeza!
Uwekezaji Katika Hatifungani za serikali