Amini unachotakaKwa sifa hizo chache nilizo kupa proof me long
Aisee mkuu umenifumbua macho kuna jamaa hapa kitaa anaitwa Tonny rafiki zake ni wanawake tu anapenda sana kupika pika na kujiremba remba kama demu.Sifa za watu wote wenye jina la tony baadhi ni hizi
1- wanapenda kujisikia sana
2- wanapenda usafi uliopitiliza
3- they like to be soft
4- wanapenda kunukia perfume
5 awapendi sauti za base wanapenda sauti nyembamba yaani awapendi kuwa na base ya kiume .
Zipo sifa zao zaidi ila sina muda na kuusu jina langu LWIVA umejuaje kuwa ni jina langu kweli ila lako Tony ninauakika 100% kuwa ni jina lako kwasababu najua tabia zenu wenyemajina ya tony hua ampendi kutumia majina feki
Huu si ni ushoga huu? Yaani mwanaume mzima umekiti chini ukawaza hayo yote kuhusu jina la mwanaume mwenzako? Wakati kuna majina mengine mengi tu ambayo yana mvuto zaidi kwa mwanaume kamili, kama Barbara na Bianca au hata Njeri na Shiko? Bure kabisa! Tahadhari! Tony254 hapa sio kuzuri.Sifa za watu wote wenye jina la tony baadhi ni hizi
1- wanapenda kujisikia sana
2- wanapenda usafi uliopitiliza
3- they like to be soft
4- wanapenda kunukia perfume
5 awapendi sauti za base wanapenda sauti nyembamba yaani awapendi kuwa na base ya kiume .
Zipo sifa zao zaidi ila sina muda na kuusu jina langu LWIVA umejuaje kuwa ni jina langu kweli ila lako Tony ninauakika 100% kuwa ni jina lako kwasababu najua tabia zenu wenyemajina ya tony hua ampendi kutumia majina feki
Asante, nimemsoma kwa umbali, huyo ana mambo yake.Huu si ni ushoga huu? Yaani mwanaume mzima umekiti chini ukawaza hayo yote kuhusu jina la mwanaume mwenzako? Wakati kuna majina ambayo yana mvuto zaidi kwa mwanaume kama Barbara na Bianca au hata Njeri na Shiko? Bure kabisa! Tahadhari! Tony254 hapa sio kuzuri.
Mkenya wataz huwawezi jomba..!Ndugu, hamna uhusiano wowote kati ya jina la mtu na tabia yake.
Acha uwoga dogoHuu si ni ushoga huu? Yaani mwanaume mzima umekiti chini ukawaza hayo yote kuhusu jina la mwanaume mwenzako? Wakati kuna majina mengine mengi tu ambayo yana mvuto zaidi kwa mwanaume kamili, kama Barbara na Bianca au hata Njeri na Shiko? Bure kabisa! Tahadhari! Tony254 hapa sio kuzuri.
Uwoga ndio nini tena?Acha uwoga dogo