A crazy story na mpenzi wangu wa Chuo

Mkuu umeyumba sana yani ungeenda nae tuu then unamsubilia mpaka amalize kuonananea sasa ulivyo kataa manzi atajua bado unampenda pia unateseka juu yake yani umepuyanga sana Mkuu
Ndio yashotokea hamna namna tena.
 
Ndio maana mliachana...kijana unaonekana kibri sana
 
It was stupid of me to go there in a first place.
No she was your ex girl,and it looks like you still love her.
But, i will agree with you if you say so.
 
Nimecheka hapo ulipokodoa mimacho, yalikujaa uso mzima kama gorong'ondo. Ulimuwin goli la ugenini pale ilipompiga kibuti, kosa ulipomshobokea upya ukapigwa tatu bila nyumbani ukabaki umebung'aa ka fwaala😳😳🙄🙄
 
We ungemsinidikza tuu ukamuone kidume anempumulia na angewaruhusu bas ungeenda kubarikiwa kashungwa
 
Picha yake tafadhali ili tukija Arusha tujuwe namna ya kumuepuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…