A day in the Buddhist college

Nipo safarini nikirudi nitafanya hivyo
Nimefanikiwa kukiweka lakini bila picha ambazo bado Ila zitakuja

Nimeiona mkuu kule MMU ila angalia usije ukawafanyia vitimbwi abiria wenzako maana hamuaminiki, mtu akiweza kuishi na wewe lazima awe na uwezo wa kutazama na kutambua vitu kwa jicho la tatu ndio ata ishi vzr bila ya hvyo anaweza akafikiri anaishi na jini.
 

Mimi ni mtu mwema sana mpaka natia huruma
 

Mkuu wakati naishi kisiwani hong kong nlikuwa naona katika baadhi ya mitaa ya makazi ya watu kunakuwa na visamu vidogo na kubwa pembezoni ya barabara zinakuwa zimewekewa matunda kama machungwa na ma apple. hivi ile ni budhism ama ni imani tafauti?
 
Mkuu wakati naishi kisiwani hong kong nlikuwa naona katika baadhi ya mitaa ya makazi ya watu kunakuwa na visamu vidogo na kubwa pembezoni ya barabara zinakuwa zimewekewa matunda kama machungwa na ma apple. hivi ile ni budhism ama ni imani tafauti?

ni sanamu za mabudha na kwa vyovyote ni milefo na hivyo vitu ni offerings
 
Huko hong kong mbali sana chukua hii hapa; pale upanga karibu na makao makuu ya JWT kuna ofisi ya jamaa flani hivi wahindi, hao jamaa wana hilo sanamu.
Mkuu wakati naishi kisiwani hong kong nlikuwa naona katika baadhi ya mitaa ya makazi ya watu kunakuwa na visamu vidogo na kubwa pembezoni ya barabara zinakuwa zimewekewa matunda kama machungwa na ma apple. hivi ile ni budhism ama ni imani tafauti?
Kuna kipindi chao mimi sikielewi huwa wanakuja wahindi tofauti tofauti na vyakula, matunda na hata pesa, wanaweka kwa huyo sanamu wao (sielewi nini maana yake).

Ila sasa wabongo wanaofanya kazi hiyo ofisi na hata walinzi wakiona jamaa wanakaribia kuja basi hata walio off kiofisi wanakuja kazini! Kwa nini?

Sababu hao wahindi wanapoweka vyakula na mapesa wana_feel huyo 'sijui mungu wao' anakula na pesa kuchukua, basi waswahili usiku wanafungasha kila kitu na kusepa navyo doh!!.

Kazi hiyo mshana jr hupo hapo?
 
Last edited by a moderator:

Hata kule waafrika walikuwa wakikuta zagazaga zimewekwa wanabeba wanaenda kula
 
Last edited by a moderator:
titimunda
Doh!! Waafrika bana, yaani hawaachi kitu, au wanaelewa Mungu ni mmoja tu wa mbingunj hizi nyingine ni senema tu.
 
Last edited by a moderator:

Hata kule waafrika walikuwa wakikuta zagazaga zimewekwa wanabeba wanaenda kula

titimunda
Doh!! Waafrika bana, yaani hawaachi kitu, au wanaelewa Mungu ni mmoja tu wa mbingunj hizi nyingine ni senema tu.

Hahahahahaaaaa TODAYS yale madude kama huyaamini halali kabisa kuyasaidia Kula kunywa na hata kuchukua hiyo mihela.kinachokuja kukuumiza baadae ni ile karma ya wizi na sivinginevyo
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaa TODAYS yale madude kama huyaamini halali kabisa kuyasaidia Kula kunywa na hata kuchukua hiyo mihela.kinachokuja kukuumiza baadae ni ile karma ya wizi na sivinginevyo
Sasa comrade hilo dubwana halikuli chakula wala kutumia pesa, so how come uache chakula na pesa ziharibikie pale?

Huoni na wewe utapata Adhabu kwa mwenyaazi Mungu siku ya khiyama kwa kutizama uharibifu ungali una uwezo wa kuzuia?
 
Last edited by a moderator:
titimunda
Doh!! Waafrika bana, yaani hawaachi kitu, au wanaelewa Mungu ni mmoja tu wa mbingunj hizi nyingine ni senema tu.

Mkuu uongo dhambi hata mimi nshawahi kula hayo matunda,lakini bila kujua kama ni ya kafara.
 
Last edited by a moderator:
Wala hakuna shaka na dhambi hapo titimunda soma comment yangu hapo juu kabla ya hii.
Mkuu uongo dhambi hata mimi nshawahi kula hayo matunda,lakini bila kujua kama ni ya kafara.
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh!..watu sampuli hii hawatakagi ujinga japo wana masihara mengi.

Hahaaa ushaanza kumwogopa mara hii ila alituambia chuoni kwao walifundishwa unyekevu na nidhamu ya hali ya juu labda umkasirishe na akikasilika atakuwa anavaiblet kama siku ya kwanza alipo ingia kanisan kutoka chuoni kwao kitakacho jili hapo kitakuwa historia ya kuandikwa kwenye vitabu maana magazeti yatakuwa na kurasa chache ya kuelezea hlo tukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…