PRO 90
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 301
- 808
Ktk tafiti zangu, nimekuwa ninawaza kujenga Get away houses, Airbnb, na ki sehemu kwa ajili ya watu wanaotaka kuishi ktk mazingira ya nature, around sehemu fulani hivi Pwani.
Mwanzo nilikuwa nataka kujenga kama zile za Safari bandaz, Morden Mud houses, ila katk mizunguko yangu nimekutana na hizi " A FRAME HOUSE".
Naona linawekwa zege, tofali zinainuliwa juu, kisha uzekaji wa A FRAME unafata. Humo ndani ,nimeona mbao zikituka sanaa,
Maswali yangu!
Je, jinsi gani ya kuzi tunza? Ishu za mchwa kuna namna ya kukabiliana nazo.??
Nimeona kwa nchi za wenzetu wakiweka insulation material, Je kwa huku tunawezaje kukabiliana na ishu ya hali ya hewa?
Msaada tutani nisije ingia cha kike.