" A Frame house" Nyumba zenye umbo A

" A Frame house" Nyumba zenye umbo A

PRO 90

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2012
Posts
301
Reaction score
808
images (2) (24).jpeg
images (2) (8).jpeg
Hello wajuzi.
Ktk tafiti zangu, nimekuwa ninawaza kujenga Get away houses, Airbnb, na ki sehemu kwa ajili ya watu wanaotaka kuishi ktk mazingira ya nature, around sehemu fulani hivi Pwani.

Mwanzo nilikuwa nataka kujenga kama zile za Safari bandaz, Morden Mud houses, ila katk mizunguko yangu nimekutana na hizi " A FRAME HOUSE".

Naona linawekwa zege, tofali zinainuliwa juu, kisha uzekaji wa A FRAME unafata. Humo ndani ,nimeona mbao zikituka sanaa,

Maswali yangu!
Je, jinsi gani ya kuzi tunza? Ishu za mchwa kuna namna ya kukabiliana nazo.??
Nimeona kwa nchi za wenzetu wakiweka insulation material, Je kwa huku tunawezaje kukabiliana na ishu ya hali ya hewa?

Msaada tutani nisije ingia cha kike.
 
inawezekana insulation materials ziko huku pia kwetu.
ningekushauri utumie zile frames flan hivi za chuma ( rectangular frames) alafu mbao zinakuwa kama decoration tu( hapa unatumia tng) kwa ndani au nje lakini structure inabebwa na hizo frame za chuma.
 
Back
Top Bottom