aisee Geoff kafa nini??
eniwei... hakuna hell of love life; its either kuna love life au kuna hell life!!!! hell and love dont go together Joooo....
He he heeeee... Eti aiseeee... G yuko wapi???
Kitendawili??...
nimependa nisipopendwa!.......
Maumivu tu moyoni
nimependa nisipopendwa!.......
maumivu tu moyoni
hehehehe!plan 'B'?enewei ngoja nione...!hii weldi kapu inaweza kuwa kisingizio:happy:
Kumbe mapenzi ni kisababisha magonjwa?😛ound:yamekuwa hayo tena?? bado anaugulia mapenzi
Aliandika hivi:mkuu hapa uliandika nini
ABOMINATION baba askofu!.....
nimependa nisipopendwa!.......
maumivu tu moyoni