A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Teh hata siyo story ndefu mwaya, kwa kifupi ni kuwa watu walinishangaa na kusema kuwa hapa Tanzania hakuna mwanamke astronomer na ni ngumu mimi kuja kuifikia hiyo ndoto yangu. Wazazi wangu wao walinibembeleza sana niwe daktari, mwisho wa siku nikaona niachane tu na science maana sijawahi kuwaza kuwa daktari.

Kwa kweli mimi naona sisi waafrika wengi wetu ni vilaza, yaani wazungu hata wasihangaike kutumia nguvu nyingi kutufanya tujione vilaza sisi ni vilaza si kidogo.
 
Daah pole sana mkuu.
Wafrika wengi hatuishi ndani ya ndoto zetu tunabaki kuishi kwa kutafuta chakula na kulala tu! Ndoto zangu nyingi ziliyeyuka kwa mifumo ya Elimu na maisha. I was born to be a Computer scientist ila Nimeishia kutembeza vyombo mtaani. So Sad

Kuna uhusiano mkubwa kati ya kua mwafrika na kua mpumbafu!!
 
Je unanishauri nilianzishie uzi hilo suala, ili na wengine nao wafunguke kama walitamani kuwa watu fulani ila ndoto zao zikakatishwa kwa sababu fulani au tayari kuna uzi huo.

Kweli kabisa, ndiyo maana mie huwa namuunga mkono trump anavyotudharau.
 
Je unanishauri nilianzishie uzi hilo suala, ili na wengine nao wafunguke kama walitamani kuwa watu fulani ila ndoto zao zikakatishwa kwa sababu fulani au tayari kuna uzi huo.

Kweli kabisa, ndiyo maana mie huwa namuunga mkono trump anavyotudharau.
Anzisha mdogo wangu...

Tunapenda ishi kwa huruma
 
Mleta mada hii Sex Robot umetugusa wengi hapa kijiweni! hatujakuelewa! yaani inafanya kabisaa km Mdada? au Mkaka? inakuwa na zile mbwembwe za kuchojoa! au sitaki nataka? nikitaka lizae na mimi je? naweka mbegu humo au?

Umeme wa Bongo ni tatizo, ukikatika wakati tunafanya je?! si litanikumbatia hivohivo mpaka uje? huoni ni mambo ya kutiana vitanzi hayo!

Lina nguvu kiasi gani in terms of Kg au Tones ngapi?, lisije changanyikiwa, kwa kubonyezwa vitufe tofauti likaninyongelea kwa mbali! wakati wa kufanya Malavi dave! bora watuuzie, Binadamu mapenzi yao yanatesa sana,

Fursa unaweza litumia km changu doa mzungu, ukapata hela km mitaa ya Sudan-Temeke, wabongo wakija stuka tayari umesha jenga Ghorofa tatu, za maana!
 
Future AI is going to make a Big Gap between Developed Nations and Developing Nations , life is going to be 10x harder for developing Nations and Number of unemployment will increase bcz alot of jobs will be replaced by machines and it is Risky for Africans to be colonized again
 

Well binafsi I’m a bit skeptical kuhusu AI kupokonya ajira. AI will be revolutionary yes; but Kwa Ishu ya AI kuchukua ajira za watu kiasi kikubwa Hiyo ni bado sana. Mfano mdogo tu ni kipindi hiki cha covid-19, developed country kama USA waliosema wako pazuri in AI and will take over widely by 2022, google cars blah blah blah,,,sasa hii ni 2020 na high Tec zao zote lakini bado wanahitaji stationery human intervention muda mwingi na ndio maana hata working from home is only 42% kwa hiyo bado sana. In US as we speak 33 million people have already signed for unemployment kipindi hiki tu cha Stay home na Vitu haviendi. So Kama AI was that much maana yake ingetake over sasa kipindi hiki na things ziwe normal. But for now I’m looking forward to seeing Siri becomes more jealous of Alexa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutafata nyuma nyuma ndio kazi yet
 
US $799.6 60% OFF|163cm real silicone sex dolls robot japanese anime love doll realistic toys life for men full big breast sexy mini vagina adult|Sex Dolls| - AliExpress
 
Ulipofeli mwandish ni kama una ka ubias flan hivi hasa ulipooelezea kuhusu masheikh na kuwaita "Uchwara" na wapuuzi unajua kama haujawandendea haki Mola akusameh kwa hilo.
 
Ulipofeli mwandish ni kama una ka ubias flan hivi hasa ulipooelezea kuhusu masheikh na kuwaita "Uchwara" na wapuuzi unajua kama haujawandendea haki Mola akusameh kwa hilo.
Wachungaji na manabii uchwara hujawaona au ndio unatka kuleta udini kwa vitu vidogo.?
 
Good
 
Ndugu yangu wanawake wote hawa bado wahitaji robot? Acha hizo.
Inakua inatumia power core ambayo ipo embedded mwilini mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…