si useme tuuuuHua nawapenda tu automatically
We goloko acha utani, mweeHiyo tittle ya thread yako sasa, sijui ni kisukuma, sijui ni kinyantuzu. Duh! Mwadeli gawisa bhaba!
Hahahaha, hizi shule zetu za ada ndogo tabu. But thanks for appreciation mummy.Utapata. Ila hapo pa' A lady with wife material is need now.
Pengine ingekaa MUBASHARA kama ingekuwa .WIFE MATERIAL IS NEEDED HERE!! MARA nyingi kichwa cha habari kinabeba Ujumbe woooote wa ndani.Is just like A cover of a book.That heading of a book tells it all.Sasa Rafiki angu msukuma pamoja Na Lengo lako nzuri Na Ujumbe umefika bila shaka.,but naona.wengi wanavutia Na heading kwa maana Grammatical haijakaa Sawa.So they make fun of you.But,as your sister I wish you the best luck in your choices.
mkuu fuata nyota ya kijani hiyoSafi, nimekupenda bure kwa maneno yako mazuri.
Ooooh sukuma[emoji182] [emoji182]
[emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Aaah!, sasa huu weusi mangalore tena ni aje na huyu msukuma?
Halafu damu ya ujasiriamali ndo group gani shoga?!!
Wewe tangazo lako utaweka lini?si useme tuuuu
mkuu fuata nyota ya kijani hiyo
Uh!! We vingreza visikusumbue lugha za watu hizo, kwanza kajitahidi sana maana wasukuma kiswahili tu taabu. Mie nisiejua kingreza nimesoma pa kiswahili tu.Utapata. Ila hapo pa' A lady with wife material is need now.
Pengine ingekaa MUBASHARA kama ingekuwa .WIFE MATERIAL IS NEEDED HERE!! MARA nyingi kichwa cha habari kinabeba Ujumbe woooote wa ndani.Is just like A cover of a book.That heading of a book tells it all.Sasa Rafiki angu msukuma pamoja Na Lengo lako nzuri Na Ujumbe umefika bila shaka.,but naona.wengi wanavutia Na heading kwa maana Grammatical haijakaa Sawa.So they make fun of you.But,as your sister I wish you the best luck in your choices.
Ngoja niwaulize, utanilipa lakini?Jamani mwambie basi kama yuko ready tuhamie PM right now.
Group xyz, unayo?Aaah!, sasa huu weusi mangalore tena ni aje na huyu msukuma?
Halafu damu ya ujasiriamali ndo group gani shoga?!!
Mkuu umenena vyema sana. Tuko pamoja.Uh!! We vingreza visikusumbue lugha za watu hizo, kwanza kajitahidi sana maana wasukuma kiswahili tu taabu. Mie nisiejua kingreza nimesoma pa kiswahili tu.
Wamishagha!!!
Vipi tena!!Ooooh sukuma[emoji182] [emoji182]
Nimefurahi tuVipi tena!!
Hahahaaa!! Hutaki undugu na bashite wewe?Nimefurahi tu
Haha mbona sitakiHahahaaa!! Hutaki undugu na bashite wewe?
mi tayari, hukuliona?Wewe tangazo lako utaweka lini?
Hapana. Liko wapi?mi tayari, hukuliona?