A lady with wife material is need now

Uh!! We vingreza visikusumbue lugha za watu hizo, kwanza kajitahidi sana maana wasukuma kiswahili tu taabu. Mie nisiejua kingreza nimesoma pa kiswahili tu.
Haaaa haaa Espy.You made my day!
 
Wewe mleta uzi kuna ulazima wowote wa kuandika Kiingereza? Maana ulichoandika hapo juu ni tatizo tupu. Umesema una shahada lakini Kiingereza ulichoandika sijui cha nchi gani.
 
Msukuma.Utahamisha Lengo lako ukazane Na salamu za kisukuma.We cheza Na akina Espy. Watakupotezagha!!!Bhabhaa changamukaaa!
Hahaha, nasikia raha ndugu zangu. Kumbe humu mna umoja mzuri. Asante kwa ushauri.
 
Wewe mleta uzi kuna ulazima wowote wa kuandika Kiingereza? Maana ulichoandika hapo juu ni tatizo tupu. Umesema una shahada lakini Kiingereza ulichoandika sijui cha nchi gani.
Bwana hizi lugha zingine zinatushusha hadhi. Ndo maana nikaamua kuingia kwenye kiswahili. Lakini ujumbe umefika ama.
 
hahaha eti am black but not typical black! kaka hata mimi ni light skin kwa wabongo wataniita mweupe ila huwa naitwa tu mweusi nikiwa popote duniani, sasa wewe unajishaua hapa eti black but not typical black..si ufunguke tu am black jikubali black is beautiful dude!!
 
Kibongo bongo kuna mweupe na mweusi lakini kimabara sisi sote ni black people. Asante kwa kunikumbusha.
 
musukuma tangu lini akaweza kuongea lugha y amalkia?! e ledi withi waifu materio izi nidi nao hahaha
 
Msukuma.Utahamisha Lengo lako ukazane Na salamu za kisukuma.We cheza Na akina Espy. Watakupotezagha!!!Bhabhaa changamukaaa!
Mie sina damu ya ujasiriamali, umri nimeoverqualify, ni mweusi tiiiiiiiiiiiiiii, elimu yenyewe niliishia la tatu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…