A-Level Past Papers (PCB)

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2009
Posts
2,469
Reaction score
284
Heshima Wadau..

Ni wapi ninaweza nikapata vitabu vyenye maswali na majibu ya mitihani kwa masomo ya Fizikia, Kemia na Baiolojia haya kwa takribani miaka 20 iliyopita?!

Nawakilisha nikitanguliza shukrani
 
Heshima Wadau..

Ni wapi ninaweza nikapata vitabu vyenye maswali na majibu ya mitihani kwa masomo ya Fizikia, Kemia na Baiolojia haya kwa takribani miaka 20 iliyopita?!

Nawakilisha nikitanguliza shukrani
Solve Nelkon 3rd edition kwa physics,,,kuna maswali mengi ambayo paper za ktambo icho zilikua zinatungwa,,chemia,,kwa inorganic & organic soma notce na solve maswali yote kwenye vitabu vile vdgo vya taasisi coz ndo walipo na wanapotoa maswali yao,,,auuuuuu,,tafuta paper za feza boyz na marian galz huwa wanatoa matango ya daina iyo ya kitambo,,,,mwishooo,,,notce za mama shija chemistryyy mpango mzima
 
Ahsante kwa ushauri.. Bimfsi hiyo biashara nishaimaliza takribani miaka 13 ilopita... namtafutia mpwa wangu... hasa solved past papers za NECTA..
 
kuna kitu inaitwa radiant ya chem tafuta hiyo, then necta review, ramsden, pia kuna mtu anaitwa ngaiza anamaswali solved mazuri naye! ukimaliza hizo kitu then chem ukipata D we kilaza clasic!
 
solve reviews tu, japo zinamithihani ya kama miaka 10 tu ila kama ukimaster vizuri hayo maswali basi utafaulu..
hamna haja yakutafta pastpapers za mababu zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…