A-level private schools boarding for arts

rifwima

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2010
Posts
507
Reaction score
212
Waungwana Habari! Nina kijana wangu (Male) amemaliza form four mwaka huu na kapata kama ifuatavyo

Civ = B
Hist = C
Geog = C
Kisw = C
Engl = C
Bio = D
Comm = D
B/Keep = D
B/Math = F

Nataka kumpeleka asome mojawapo kati ya comb za Arts shule ya Private lakini boarding. Shule gani zimekaa sawa. Ushauri tafadhari wadau. Mwanetu huyu.
 
Mpeleke feza boys.

Asante kwa ushauri mkuu. Tafadhari kama kuna shule nyingine nijuze....manake the Feza nafikiri itaitaji kujikamua kwelikweli na visenti nyenyewe nya kuungaunga tu.
 
St anthon ya mbagala pia ni nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…