A-level private yenye comb ya CBG au CBM mkoani Tabora

A-level private yenye comb ya CBG au CBM mkoani Tabora

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
504
Reaction score
209
Wanajf nisaidieni natafuta sana shule hiyo kwani mdogo wangu anatakiwa ajiunge mwaka huu. A-level private yenye comb ya CBG au CBM mkoani Tabora
 
Tabora private yenye hizo combination nadhani ni New Era na Mwinyi secondary fatilia hizo, hizi ni TBR mjini mkuu.
 
New era kuna hiyo michepuo, lakini ufaulu si mzuri hata kidogo. Mim sikushauri umpeleke mdogo wako shule mojawapo kati ya hizo.
 
Mkuu uko mboka manyema nn?..

Jamaa yeye amehitaji tu shule zenye hiyo michepuo,nadhani performance ya shule siyo kipa umbele kwake,hizo shule ni

kweli ufaulu wake uko chini lakini kutokana na uhaba wa shule za namna hiyo zimekuwa kimbilio la walio wengi mkoani

TBR.

New era kuna hiyo michepuo, lakini ufaulu si mzuri hata kidogo. Mim sikushauri umpeleke mdogo wako shule mojawapo kati ya hizo.
 
Mkuu uko mboka manyema nn?..

Jamaa yeye amehitaji tu shule zenye hiyo michepuo,nadhani performance ya shule siyo kipa umbele kwake,hizo shule ni

kweli ufaulu wake uko chini lakini kutokana na uhaba wa shule za namna hiyo zimekuwa kimbilio la walio wengi mkoani

TBR.

Hapana siko mboka ila ni mwenyeji sana hapo

Hizo shule kwa sayansi sio kabisa labda kwa arts,
 
Ni kweli mkuu,sababu ya uhaba wa shule hasa zenye michepuo hiyo na uhitaji mkubwa waliamua kuforce ziwepo hizo

combinations hazifanyi vizuri lakini zimeleta mapinduzi sana watu wengi wanapata fursa.

Mbahai anajitahidi sana kuleta mapinduzi ya elimu lakini mgt yake naona haiko vizuri.

Hapana siko mboka ila ni mwenyeji sana hapo

Hizo shule kwa sayansi sio kabisa labda kwa arts,
 
Wanajf nisaidieni natafuta sana shule hiyo kwani mdogo wangu anatakiwa ajiunge mwaka huu. A-level private yenye comb ya CBG au CBM mkoani Tabora


Jinsia gani mkuu ?
 
Back
Top Bottom