Sasha Fierce
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 361
- 5
Hao babu ndio usiseme.
Ukirudi bongo utashangaa hata mademu usio wajua wanakuja kukaa meza moja na wewe au kuja kukusalimia home.
Kuna machangu na groupies wengi mno.
Kweli aisee...dogo anaweza akawa wa kwanza akibahatika kusajiliwa.
Vipi bongo, tunao groupies?
Kwani definition ya groupie ni nini?.
hivi mtu kuja kukaa meza moja na wewe au kuja kukusalimia home kwako ni groupie?.kama ni hivyo basi hata wanaume pia ni ma-groupie.
Kweli aisee...dogo anaweza akawa wa kwanza akibahatika kusajiliwa.
Vipi bongo, tunao groupies?
Kwani definition ya groupie ni nini?.
hivi mtu kuja kukaa meza moja na wewe au kuja kukusalimia home kwako ni groupie?.kama ni hivyo basi hata wanaume pia ni ma-groupie.
Anasajiliwa for sure labda akatike miguu! Atakua 3rd pick probably.
Wanatabiri anaweza kwenda Memphis,ila kule kuna yule mdogo wake Gasol sasa sielewi...Anasajiliwa for sure labda akatike miguu! Atakua 3rd pick probably.
Sasha sikuweza kuelezea kiundani zaidi ila baadae maongezi yanaishia kiukubwa ukubwa. I hope unanielewa.
? ? ....kelly01?RuSh Limburgh Jr a.k.a Radio Butiama..........big tyme celebrity wa kibongo...........hahahaha..........i wonder why siku hizi hayupo hewani.
? ? ....kelly01?
Mkuu,
Mnapata taaabu saaaaanaaaaa wakati Cerebrity mkuu anaeleweka . . . .
Mkuu Liyumba . . .
Teee teheee tee!!!
Mkuu,
Mnapata taaabu saaaaanaaaaa wakati Cerebrity mkuu anaeleweka . . . .
Mkuu Liyumba . . .
Teee teheee tee!!!
KUTAJIWA liyumba tu,umeamkaYou nailed it SM!.....
You nailed it SM!.....
Kamega sana ma groupie huyu jamaa...gademu....
KUTAJIWA liyumba tu,umeamka
KUTAJIWA liyumba tu,umeamka
Du! Du! Duuu duuu duuuu . . . .