Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #101
Nyani;
Inategemea huyo superstaa ni wa nini na yupo maeneo gani. Mfano hata awe superstaa wa vipi maeneo ya masaki au mikocheni au hata Obey HAZONGWI MTU.
We mwenyewe Nyani Ngabu ni staa, ulipokuja Bongo ukaenda Move n Pick wale jamaa kule Garden (nyuma ya kibo bar) walikuwa wanakusalimia karibu wote. Hivyo na wewe ni Staa kibongo bongo🙂
A lister ni A lister tu. Nikupe mfano, David Beckham, iwe UK, US, Hongo Kong, Cape Town....akionekana atazongwa tu na Paps watakuwa wanapigana vikumbo.
Basi kwa bongo hamna kaka
A lister ni A lister tu. Nikupe mfano, David Beckham, iwe UK, US, Hongo Kong, Cape Town....akionekana atazongwa tu na Paps watakuwa wanapigana vikumbo.
Kweli A lister hakuna bongo. Closest labda ni Kikwete
naona tatizo la waTanzania ni kutokuwa serious hasa kwa wale ambao walikuwa wanaelekea kwenye hiyo a lister, mimi kwa mtazamo wangu, mtu kama Mwisho Mwampamba na Miriam Odemba nyota yao ilikuwa juu sana kimataifa, lakini tatizo sijuhi ni displin au walikosa ushauri mzuri,
baada ya bigbrother1, mwisho alikuja Botswana na Namibia ilikuwa ni balaa ilikuwa inafikia point hata akiingia supermarket inabidi ifungwe kutokana na msongamano wa watu walikuwa wanataka kumwona, and most of time alikuwa ana escort ya police kwa usalama wake, lakini sasa sidhani kama yuko kwenye hiyo peak tena
list yangu ya top 20 macelebrity tanzania. Hawa wamechangia tanzania, au wamevuruga nchi kwa kiasi fulani. Celebrity siyo lazime afanye mazuri siku zote, ni mtu anayevutia watu kwa mabaya na mazuri. Hawa ni macelebrity hai
1. Amaritus liyumba
2. Rostam aziz
3. Issa michuzi
4. Jakaya kikwete
5. Mashaka john
6. Dr. Salim hamed salim
5. Ze-utamu
6. Dr. Shayo hildrebrand
7. Rose migiro
8. Zitto kabwe
9. Dr. Slaa
10. Hasheem thabeet
11. Charles hillary
12. Anna kilango malecela
13. Lawrence masha
14. Lady jaydee
15. Edward lowassa
16. Jetuu patel
17. Alikiba
18. Andrew chenge
19. Ben mkapa
20. Professor jay
List yangu ya Top 25 macelebrity Tanzania. Hawa wamechangia tanzania, au wamevuruga nchi kwa kiasi Fulani. Celebrity siyo lazime afanye mazuri siku zote, ni mtu anayevutia watu kwa mabaya na mazuri. Hawa ni macelebrity Hai
1. Amaritus Liyumba
2. Rostam Aziz
3. Reginald Mengi
4. Issa Michuzi
5. Jakaya Kikwete
6. Mashaka John
7. Dr. Salim Hamed Salim
8. Ze-Utamu |Yusuf Manji
9. Dr. Shayo Hildrebrand
10. Rose Migiro
11. Zitto Kabwe
12. Dr. Slaa
13. Hasheem Thabeet
14. Charles Hillary
15. Anna Kilango Malecela
16. Lawrence Masha
17. Lady Jaydee
18. Edward Lowassa
16. Jetuu Patel
19. Alikiba |Mange Kimambi
20. Andrew Chenge
21. Ben Mkapa
22. Professor Jay
23. Comandoo Matonya (ombaomba)
24. ZE-Comedy Original Team
25. Kubenea (Mwanahalisi)
Wasifu wa huyo kaka tafadhali zaidi ya Utangazi na MacharangaList yangu ya Top 25 macelebrity Tanzania. Hawa wamechangia tanzania, au wamevuruga nchi kwa kiasi Fulani. Celebrity siyo lazime afanye mazuri siku zote, ni mtu anayevutia watu kwa mabaya na mazuri. Hawa ni macelebrity Hai
14. Charles Hillary
List yangu ya Top 25 macelebrity Tanzania. Hawa wamechangia tanzania, au wamevuruga nchi kwa kiasi Fulani. Celebrity siyo lazime afanye mazuri siku zote, ni mtu anayevutia watu kwa mabaya na mazuri. Hawa ni macelebrity Hai
1. Amaritus Liyumba
2. Rostam Aziz
3. Reginald Mengi
4. Issa Michuzi
5. Jakaya Kikwete
6. Mashaka John
7. Dr. Salim Hamed Salim
8. Ze-Utamu |Yusuf Manji
9. Dr. Shayo Hildrebrand
10. Rose Migiro
11. Zitto Kabwe
12. Dr. Slaa
13. Hasheem Thabeet
14. Charles Hillary
15. Anna Kilango Malecela
16. Lawrence Masha
17. Lady Jaydee
18. Edward Lowassa
16. Jetuu Patel
19. Alikiba |Mange Kimambi
20. Andrew Chenge
21. Ben Mkapa
22. Professor Jay
23. Comandoo Matonya (ombaomba)
24. ZE-Comedy Original Team
25.Kubenea (Mwanahalisi)
sasa wewe binafsi upo wa ngapi katika hii orodha ya majina?
List yangu ya Top 25 macelebrity Tanzania. Hawa wamechangia tanzania, au wamevuruga nchi kwa kiasi Fulani. Celebrity siyo lazime afanye mazuri siku zote, ni mtu anayevutia watu kwa mabaya na mazuri. Hawa ni macelebrity Hai
1. Amaritus Liyumba
2. Rostam Aziz
3. Reginald Mengi
4. Issa Michuzi
5. Jakaya Kikwete
6. Mashaka John
7. Dr. Salim Hamed Salim
8. Ze-Utamu |Yusuf Manji
9. Dr. Shayo Hildrebrand
10. Rose Migiro
11. Zitto Kabwe
12. Dr. Slaa
13. Hasheem Thabeet
14. Charles Hillary
15. Anna Kilango Malecela
16. Lawrence Masha
17. Lady Jaydee
18. Edward Lowassa
16. Jetuu Patel
19. Alikiba |Mange Kimambi
20. Andrew Chenge
21. Ben Mkapa
22. Professor Jay
23. Comandoo Matonya (ombaomba)
24. ZE-Comedy Original Team
25.Kubenea (Mwanahalisi)
List yangu ya Top 25 macelebrity Tanzania. Hawa wamechangia tanzania, au wamevuruga nchi kwa kiasi Fulani. Celebrity siyo lazime afanye mazuri siku zote, ni mtu anayevutia watu kwa mabaya na mazuri. Hawa ni macelebrity Hai
1. Amaritus Liyumba
2. Rostam Aziz
3. Reginald Mengi
4. Issa Michuzi
5. Jakaya Kikwete
6. Mashaka John
7. Dr. Salim Hamed Salim
8. Ze-Utamu & Yusuf Manji
9. Dr. Shayo Hildrebrand
10. Rose Migiro
11. Zitto Kabwe
12. Dr. Slaa
13. Hasheem Thabeet
14. Charles Hillary
15. Anna Kilango Malecela
16. Lawrence Masha
17. Lady Jaydee
18. Edward Lowassa
16. Jetuu Patel
19. Lyatonga Mrema & Issa Shivji
20. Andrew Chenge
21. Ben Mkapa
22. Professor Jay
23. Comandoo Matonya (ombaomba)
24. ZE-Comedy Original Team & DECI Team
25.Kubenea (Mwanahalisi)
**********************
....Nyani Ngabu & Mwanakijiji .....LOL
Wadau nadhani hapa sasa hakuna Ugomvi tena, nimejitahidi vya kutosha