A look at Uganda's second largest city-Mbarara

Wanyankole ambao ndo wameshika uchumi wa Uganda wote wamejenga kwao, Kampala ni Luganda kingdom ambao hawaikubari kabisa regime ya museven.
 
Mbesa ni nini?? I think this is not a comparison thread..... It's just a look at Mbarara town.
Oh yes if it is just for a look! maana i'm surprised jiji kuwa na wakazi 200k tu this implies kwamba hapo hakuna mvuto ama la waganda sio wachakalikaji wa kufukuzia fursa kwenye miji inayochipukia wanakaa vijijini tu kunywa "lubisi" na ugali wa matoke!!
 

ok
 
Yeap... That is largely the cbd
Basi uko ug wako nyuma sana,mji unaofuata Kampala umekaa kama municipal ya kawaida kabsa uku tz,wajipange tu bado wananafasi
 
What happened to Jinja? The last time i visited Jinja was a really good city!!
 
Napenda kufahamu flyover ya kampala ujenzi unaendeleaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…