A new celebrity in town is a FRAUD OR WHAT?? C.C CLOUDS TV

A new celebrity in town is a FRAUD OR WHAT?? C.C CLOUDS TV

Sangarara

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
13,104
Reaction score
5,659
Bi lucy ndo katangazwa ka mshindi wa bibi bomba, lakini watu aliowataja kwamba walimpeleka kwenye mashindano na wasifu wake wa kuwa kiongozi wa UWT naona kama ni FRAUD vileeeeee
 
Yaani ni hatari....hata huo mgawanyo wa zawadi ndo nmeshindwa
 
Juzi nimemsikiliza home boy wangu FID Q akihojiwa na salama akaelezea namna washindi wanavyoteuliwa kwenye tuzo za kili awards, nikiunganisha na hii + Mamiss wetu+Bongo Star Search.

Malalamiko miongoni wa washiriki ni mengi, expectations za sisi wadau huwa zinakuwa blown up vibaya sana.

Nafikia hitimisho kwamba, hawa waandaaji waanze kutumia independent referees, au la kama ni public inapiga kura basi utumike mfumo huo peke yake, na weights za kila criteria zionekane

ama sivyo disappointments zitakuwa nyingi sana.

ugumu wa maisha unatosha, hadi kwenye entertainment nako tunazinguana tena.
 
Juzi nimemsikiliza home boy wangu FID Q akihojiwa na salama akaelezea namna washindi wanavyoteuliwa kwenye tuzo za kili awards, nikiunganisha na hii + Mamiss wetu+Bongo Star Search.

Malalamiko miongoni wa washiriki ni mengi, expectations za sisi wadau huwa zinakuwa blown up vibaya sana.

Nafikia hitimisho kwamba, hawa waandaaji waanze kutumia independent referees, au la kama ni public inapiga kura basi utumike mfumo huo peke yake, na weights za kila criteria zionekane

ama sivyo disappointments zitakuwa nyingi sana.

ugumu wa maisha unatosha, hadi kwenye entertainment nako tunazinguana tena.

Bongo darisalama nothing is real refer interview ya uhamiaji pale uwanja wa taifa mwezi ulopita utapata majibu na majipu yote
 
am sooooo...Dissapointed,hakuwa wa kushinda yule na makwazo yote alowapa wenzie
 
Ushoga ni mbaya,je unahitaji kuwa shoga ili ujue ubaya wake?
ushoga ni mbaya kwako lakini, wale mashoga ukiwaambia mbaya mnakosana, kwao burudani. So kipindi kile japo nami nilikiona kibaya, siwezi kugeneralize, kuna waliokipenda na kwao huwaambii kitu.
 
Ushoga ni mbaya,je unahitaji kuwa shoga ili ujue ubaya wake?

Tofautisha ushoga (an act) na Bi Bomba (an idea). hauwezi kujua Bi Bomba ni kitu gani mpaka uangalie, hauwezi kusema ni upuuzi eti tu kwa sababu umesikia "Bi bomba"

mi mwenyewe nimeangalia mara kibao na mpaka sasa sijaelewa hasa mantiki yao ilikuwa nini
 
Back
Top Bottom