A new comer

obert

Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
42
Reaction score
3
Nawasalimieni wote wakubwa zangu shikamoo!vijana wenzangu mambo na wadogo zangu hamjambo!mm ndo mara yangu ya kwanza kuja hapa jamvini naomba mnipokee kwa mikono miwili,asanteni
 
Nawasalimieni wote wakubwa zangu shikamoo!vijana wenzangu mambo na wadogo zangu hamjambo!mm ndo mara yangu ya kwanza kuja hapa jamvini naomba mnipokee kwa mikono miwili,asanteni

Wakaribishwa sana....

Unatumia kinywaji gani obert.....?
 
Last edited by a moderator:
marhabaa obert, karibu sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…