A New Ladies undewear shop opened recently in Zanzibar

Nitakuandikia mail na PM utaonana na mawakala wangu, bila shaka utanunua mzigo wa kutosha 🙂

Rev uwe makini tu ili kuhakikisha mawakala wako wanatuma mzigo ulioagizwa na si ule wa kanda nyingine za T....hahahahahahaha, maana wateja wanaweza kuja juu kutaka kurudishiwa pesa zao na mineno mizito ya nguoni kwa kutumiwa kitu ambacho hawakuagiza. Kazi kwako.
 
yakheee nataka ile rojo rojo isije muumizaa bibie makalio, ntapata tabuu, na kasiwe na g-stingii mie sipendi kambakambaa, ntoto mwenyewe mlainii
 
hahahahahahahahahah
kwa kweli ndo naanza kuamini ni 2011
 
Ukitaka mzigo we usijali nione mm nitawasiliana na Mchungaji moja kwa moja kuna stock ya kutosha

mmmmhh afadhali hata umekuja kunikomboa..
mie hiyo ya tatu kutoka kushoto au ya pili kutoka kulia ndo nataka...
size mmmhhhh ntakuacha utumie ufundi wako hapo lol
usiniangushe hahahahh lol
 
mmmmhh afadhali hata umekuja kunikomboa..
mie hiyo ya tatu kutoka kushoto au ya pili kutoka kulia ndo nataka...
size mmmhhhh ntakuacha utumie ufundi wako hapo lol
usiniangushe hahahahh lol

Unapendesa saidi wewe ukiwa chuku chuku!
 
turn out to be nice thing to spend a day watching for them zanzibari kids!
 
Unapendesa saidi wewe ukiwa chuku chuku!

mmmhhhh Rev subiri kwanza waumini wapite....

lakini izo red nazifagilia sana...

mmmmhhhh labda ningeenda Zanzibar kwa holiday na mii nijiunge na hao
majaa tufaidi video ya bure....
 
mmmhhhh Rev subiri kwanza waumini wapite....

lakini izo red nazifagilia sana...

mmmmhhhh labda ningeenda Zanzibar kwa holiday na mii nijiunge na hao
majaa tufaidi video ya bure....

Baby wewe unapendeza zaidi usipovaa kabisa! Halafu na joto na visiwani
 
ami weye hasaaaaaa umenipata leo na shemejio....ami umen'pataaa aaahhh!
n'shazungukia kutwaaa mitaa ya darajani, mtendeni, mlandege,
mpaka michenzani sijaliona hilo duka kaa la 'Ann Summers'!
 
Baby wewe unapendeza zaidi usipovaa kabisa! Halafu na joto na visiwani

mmmhhhh Rev
kwa hiyo wanauza zile za kuogelea za rangi hiyo (bikini)?/
mmmhhh nataka utamani na uwaze humo ndani kunani
ndo maana napenda kusiliba kidogo ..
mmmmhhh Rev utanifanya nipewe talaka na TF wangu...
 
mmmmhh afadhali hata umekuja kunikomboa..
mie hiyo ya tatu kutoka kushoto au ya pili kutoka kulia ndo nataka...
size mmmhhhh ntakuacha utumie ufundi wako hapo lol
usiniangushe hahahahh lol


AD, hii avatar yako mpya nimeihusudu sana. Umependeza mwenyewe.
 
mmhhh asante sana..
najaribisha gauni la harusi nataka jekundu....
hahahahahah lol

Rangi nyekundu si chaguo baya, wengi inawapendeza sana. Kila la heri katika maandalizi ya harusi yako

 
mmmhh asante sana..
lakini mmhh nataka kumwalika REV atufungishe.
naona mwaka huu kabadilika sana..

B careful, Rev anaweza ku test machine ili afungishe ndoa, kabadilika kawa mwanamke?, ebu nenda uje useme, u never know:deadhorse::deadhorse::A S 12::A S 12:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…