a new member

karibu sana ila soma kwanza rules

ukitukana umu yaani kabla mods hawajakupiga bun tushakupa makavu utaiona jf chungu

ila uwe nakifua maana humu kuna wazima(lakini wamejitoa ufahamu") lakini pia kuna ambao sio wazima kabisa hivyo ukileta post yako usitegemee majibu malaini tu kuna ambalo utapewa utalala wiki 3 unaliwaza.
Cc mshana jr

karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…