A picture is more than a thousand words!

This is what we call Matured Politicians
Yaani Rais hana wasi wasi kabisa Odinga, Sio siasa za akina Nape Nauye kutwa kuzodoana na kutengenezeana maskendo yasiyoisha
Bungeni yanasabottage mpaka katiba, They are insecure na kile walichokifanya! Eti mkanda wa kupanga mauaji? Kweli Rwakatare anaweza kuwa mzembe kiasi hicho, kama sio akili isiyoona mbele ya aka Yonaz SAVIMBI
 
that man second from right (raila) is a hypocrate! as an opposition magnate, even jirongo admitted that after elections, it is only expedient to work with govt. wanajaribu kuficha walichokifanya yeye na kkofi annan kwa kujaribu kuhubiri amani na kuonyesha ukaribu🙁 Thnaks God we have an intelligent president!!
 
inapendeza jamaa ni wazalendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…