A real true meaning of a man

A real true meaning of a man

Lexus SUV

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
4,493
Reaction score
5,591
DESPITE OF ALL SHORTFALLS , HE IS STILL STANDING AS A MAN AMONG STANDING MEN... A real true meaning of a man .
1656869059760.jpg
 
Sikuwahi kujua kuwa wazungu ni weupe.

Yaani weupe kichwani.

Hivi huyu simbilisi anashindwaje kunusuru watu wake?
Mashoga wenzake wamemumwagia kiny... ananuka wakamkimbia.

Viva Russia
 
A lot of eastern Europe after suffering under Soviet oppression chose to join NATO in fear and for protection from future invasions by Russia, which with Ukraine proved their fears correct.

Russia is acting like a bully instead of being diplomatic to it's neighbors, further pushing them into NATO'S hands.
Kudos to Zelensky he has exposed unseen weaknesses of Russia.
 
A lot of eastern Europe after suffering under Soviet oppression chose to join NATO in fear and for protection from future invasions by Russia, which with Ukraine proved their fears correct.

Russia is acting like a bully instead of being diplomatic to it's neighbors, further pushing them into NATO'S hands.
Kudos to Zelensky he has exposed unseen weaknesses of Russia.
Useless kabisaa
 
DESPITE OF ALL SHORTFALLS , HE IS STILL STANDING AS A MAN AMONG STANDING MEN... A real true meaning of a man .
View attachment 2280116
Huyu Zele unayemwita mwanaume wa shoka si chochote wala lolote.
Ameruhusu nchi yake kuwa uwanja wa maonesho ya silaha za magharibi kwa gharama ya jasho la damu la wananchi wa Ukraine.

Silaha kali na yenye nguvu katika vita yoyote ile ni meza ya mazungumzo.
Lakini kwa vile alitaka kuwaridhisha mabwana zake, alipuuza mazungumzo na akaruhusu hayo yatokee.
 
Huyu Zele unayemwita mwanaume wa shoka si chochote wala lolote.
Ameruhusu nchi yake kuwa uwanja wa maonesho ya silaha za magharibi kwa gharama ya jasho la damu la wananchi wa Ukraine.

Silaha kali na yenye nguvu katika vita yoyote ile ni meza ya mazungumzo.
Lakini kwa vile alitaka kuwaridhisha mabwana zake, alipuuza mazungumzo na akaruhusu hayo yatokee.
Tanzania ilipovamiwa na uganda kipindi 1970s kwa minajili ya kukwapua mkoa wote wa kagera uwe miliki ya uganda , je wakati ule hayati nyerere ulimuonaje....?
 
Tanzania ilipovamiwa na uganda kipindi 1970s kwa minajili ya kukwapua mkoa wote wa kagera uwe miliki ya uganda , je wakati ule hayati nyerere ulimuonaje....?
Mfano wako hauna mantiki.
Ile ilikuwa ni vita kati ya Tanzania na Uganda .
Ila hii ni vita ya mataifa ya magharibi na Urusi wanapigania nchini Ukraine.
 
Huyu Zele unayemwita mwanaume wa shoka si chochote wala lolote.
Ameruhusu nchi yake kuwa uwanja wa maonesho ya silaha za magharibi kwa gharama ya jasho la damu la wananchi wa Ukraine.

Silaha kali na yenye nguvu katika vita yoyote ile ni meza ya mazungumzo.
Lakini kwa vile alitaka kuwaridhisha mabwana zake, alipuuza mazungumzo na akaruhusu hayo yatokee.
Tanzania ilipovamiwa na uganda kipindi 1970s kwa minajili ya kukwapua mkoa wote wa kagera uwe miliki ya uganda , je wakati ule hayati nyerere ulimuonaje....?
 
Na wakati ule crimea. Ilipo kwapuliwa na urusi mwaka 2014 , Uongozi hule wa kipindi hicho wa ukraine hulikuwa hauna mantiki au sio !???? Au ulikuwa wa mazuzu !! They just let it be anexed
 
Back
Top Bottom