Tatizo letu liko hapo kwa watu kama wewe kutoona uhalisia na kutukuza uchama, uCCM, uchawa.We utaitwa Central na hizi picha zako za AI.
Angalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa!
Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna mwenye nia mbaya na taifa ltu ni kutaka kukumbushana wajibu na si kuwa machawa!
Naamini kama siyo uchawa, wapambe "nuksi" wakamweleza kwa utulivu kuwa Mh Rais achana na hili la magoli, Rais angeliweza kutenda vema!
View attachment 3232843
At the same time mijizi ya ccm imejaza billions kwenye offshore accounts huko Bahamas, Cayman na Panama na kumiliki apartments Dubai na Joberg.
Kutembelea magari ya million 500+ hela ambayo ingeweza kujenga miundombinu mizuri tu ya shule.
Ccm ilaaniwe milele.
Hiyo hali itaendelea kuwa hivyo Tz kwa miaka mingi mbele hakuna kitakachobadilika sana.
Wazazi wa hao watoto wenyewe wanaona sawa tu, sasa unategemea nini?
Utakatishaji wa fedha na matumizi mabaya ya kodi za wananchi ni ULIMBUKENI WA MADARAKA na anayetenda hilo hana tofauti na haini.
So sad !"Let us all agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born in to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Sisi hatuna tofauti na nyani kabisa tena tukiita nyani na wazungu tuitike haraka sn"Let us all agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Li Lucas Mwashambwa litasema hizi picha ni za Malawi!Angalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa!
Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna mwenye nia mbaya na taifa ltu ni kutaka kukumbushana wajibu na si kuwa machawa!
Naamini kama siyo uchawa, wapambe "nuksi" wakamweleza kwa utulivu kuwa Mh Rais achana na hili la magoli, Rais angeliweza kutenda vema!
View attachment 3232843
Waache wafu wazikaneAngalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa!
Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna mwenye nia mbaya na taifa ltu ni kutaka kukumbushana wajibu na si kuwa machawa!
Naamini kama siyo uchawa, wapambe "nuksi" wakamweleza kwa utulivu kuwa Mh Rais achana na hili la magoli, Rais angeliweza kutenda vema!
View attachment 3232843
ni za hapaInsikitisha sana, Ila hio picha sio TZ