Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Miaka mitatu iliyopita ilikuwa mabingwa wa league 1..
Baada ya kuondokewa na wachezaji wake mahiri hali yao imekuwa mbaya sana. Wamiliki wa hii club walifanya makosa kuuza wachezaji was nyota bila kufanya replacement. Hii ni moja ya club kubwa pale ufaransa.
Baada ya kuondokewa na wachezaji wake mahiri hali yao imekuwa mbaya sana. Wamiliki wa hii club walifanya makosa kuuza wachezaji was nyota bila kufanya replacement. Hii ni moja ya club kubwa pale ufaransa.