A serious gentleman, understanding person click here!!

Am five feet 7 inches tall, black in color. 66kg body weight. Hicho kimo changu chafaa?
 
Kweli bwana anaharibu. Yaani kuna watu wameumbwa midomo ya kunuka tu hata apige mswaki vipi. Sasa hapo Bidada kakosea wapi jamani. Kama huna sifa why don't you just keep your f.. Shut and let others do the work!
Yaani ndugu yanguu kuna watu humu wanaweza kusababisha MTU akakosa mume ..maana unaweza mjibu vibaya na ikaonekane mbaya....ivi kama huna vigezo so basii?? Nafasi yenyewe ni ya MTU mmoja lakini anacomment kama ametoka kupokea barua ya kufukuzwa kazi of is in I..why?? Inasikitisha saana nineona hata wadada wenginee wanavyokatishwa tamaa no wander wadada hawajitokezii wengi..Au cha ajabu ni kipi..mi sijaficha kitu..na nimeweka wazi ili kutowasumbua kwenye choice ya mabinti wadogo au wasiozaa mi tayari nilishazaa na nikawrka vigezo..na sio kwamba MTU akija humu ndo hukoo alikoo hatongozwiii hapana tena tunafanya kukimbiaa OK..anayejua mahusiano atajua namaanisha ninii uhusiano haupo ivyooo...kwani Mandela aliyeoa akiwa na umri ulee ni kwamba alikosa zaamani...kwenye life so much things happening unexpected....in a way you can't force .
 
Aksantenii saana kwa wotee mnaozidi kunipm...woote nitawajibu na pia kwa kuwa issue hii ni very serious kwangu baada ya kuridhika na mmoja wenuu ntakuja kusemaa tena hapa kwamba nimempata kuondoaa usumbufu kwa wengine ila nitakayekupendekeza uwe kweli umefuata vigezo mfano M.A au B.A....umeyaanza maisha coz mi tayari na pia sasa muigeuze ni Masters yeyote na Bachelors yeyotee bila kubagua... I was mistaken at first place.OK...kuhusu kwamba nimelimit Elimu ukweli ubaki huohuo...Elimu uwe nayoo maana kuna mamboo mengiine nitapenda nifanye na wewe ni lazima uwe na iyoo Elimu (huna jipinde sooma)....haaa haaa...na pia sitegemei kujaa kuanzisha Uzii Wa ainaa hii tena hapa..So be serious kwa sababu umri wangu hauniruhusuu Teena kwanza majaribio ya ugalfurendi na uboyifurendi...it's high time for me to settle down after all I am matured enough for that business..Hope Noted.
 
Hahahahahaa utazeeka ukisubiri
Ndugu yaangu Nashukuru kwa comment yako..pia nakupa hongera kwa wewe uliyempata mwenza kwa wakati ila Mimi naamini Soon ntampata And You will be first to be told.....Life is undefined my friend..have good day.
 
Mtoa mada ukifikisha miaka 39 utoe post nyingine ili kama nitakuwa mzima wakati huo nitakuoa mke wa pili.
 
Wale wale kala ujana wake anataka tushare uzee wake...! Mimi sitaki kuwa baba wa kambo...
 
Let me pass like shadow. I m short and we don't in hobbies. Me, I only watching football matches
 

Life is not as perfect as you think it.... Usimkufuru Mungu.. mwache afanye kazi yake.... just thank him for anywho he will give you...
 
I am a Nigerian Prince we have an oil reserved, give me your mpesa details so that I can send you mone for transport, or your bank details I want to Mary you right now I have all the qualities you have asked , I make you my sweet potato, just send me those details first, usisahau
 
sweetapple

I am an inventor. ..

Graduating was not a thing in my blood stream..

Do I fit pliz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…