Ninatafuta mdada wa miaka kati ya 20-30 wa elimu ya angalau kuanzia Form-4,Mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa Sabato,aliyetayari kuanzisha mahusiano na mimi ambayo yatapelekea uchumba na hatimaye kuoana. Awe tayari kupima HIV. Mimi ni mkaka wa miaka 33 sasa,ni graduate na nimeajiriwa Serikalini. Nina mtoto mmoja niliyezaa na mdada mmoja hapahapa Dsm,lakini yeye aliolewa na jamaa mwingine maana mimi nilikuwa bado niko chuo by then (ila mtoto wangu anaishi na dadaangu). Kwa binti yoyote aliye SERIOUS (mwenye sifa tajwa hapo juu) anayedhani anaweza kuanzisha mahusiano yatakayopelekea uchumba na hatimaye ndoa,anatakiwa ani-PM kwenye Lsk