A serious single man with 33+ yrs old aje pm

Iam single,am looking for a single man aliyetayar kwa mahusiano serious,Kama uko below hiyo age ,pls...dont bother kunipm....naomba wew kaka ambaye hauko serious usinipm

I am 28,
Naishi Dar.
Nimeajiriwa.
Habari Monie , Naitwa Emmanuel miaka 32. Tunaweza kuwasiliana no yangu ni 0752353146
 
njoo nikuoe ila mie mkenya sijui kama pia unakubali jirani
 
Watakutooooooom##a utarudi hapa unataka mtoto tu wanaume hutaki tena
mkaka mpaka 34years yuko single???
Tena unamuokotea humu?
Huyo ni kimeo pasua kichwa
Haya sasa wale wanaume wa 34+ mliopo humu na hamjaoa mukuje mujibu shutuma zenu.

Cc Daby
 
MIE Nina 33 mpaka cheti cha kuzaliwa na passport IPO.
Nimeajiriwa .
Nina shahada.
Njoo pm tuyapange.
Nipo mwanza kikazi.
Ila home ni dar maeneo ya makonde along bagamoyo road
 
More than that. Yaani haliwazi maendeleo nikuzuruza tuuu akipata kahela anakatafuna haraka na vi bia anaomba kwa ndugu. Nkasema huyu disable apite hiviiii
Na ukiona mwanaume kafika umri huo na bado hajajitafuta kimbia sana hilo ni zigo la miiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…