wanakulindaje na Cybertheft?Pole sana Ndebile,cha kufanya fungua akaunti crdb au backlays au benki yoyote nyingine itoayo visa/mastercard.
kwa crdb watakupa kadi na utazisajili kwa matumizi ya online then utaanza kufanya manunuzi bila wasiwasi.
backlays wakikupa kadi moja kwa moja wanakuwa wameiunganisha.
Baclays ni lazima iwe ya dollar?
<br /><span style="font-family: franklin gothic medium"><font size="3">Hapana,waweza fungua kwa tsh.<br />
Kufungua akaunti ni laki moja...ila unaweza draw 80000...uzuri backlays kadi wapata ndani ya siku 3-4.<br />
baada ya hapo waweza nunua online.<br />
Crdb wanachukua wiki mbili hadi tatu kutoa kadi.</font></span>
swali zuri sana subiri waje wajuzi