A true definition of an abortion

Okay miezi mitatu nakubaliana nawe. Unless kuna sababu za msingi za kiafya.
Yah kuna sababu kama downing syndrome lakini na wenye matatizo haya wanapinga kwanini mimba zao zitolewe na wao wana haki ya kuzaliwa
 
Kuna life threatening incidents ambapo aidha mama au mtoto atafariki au kupata madhara makubwa endapo ikiachwa kukua
Yah kuna sababu kama downing syndrome lakini na wenye matatizo haya wanapinga kwanini mimba zao zitolewe na wao wana haki ya kuzaliwa
 
Kuna life threatening incidents ambapo aidha mama au mtoto atafariki au kupata madhara makubwa endapo ikiachwa kukua
Kama mama amegundulika na cancer, anatakiwa aanze chemo mapema na inaweza kuleta madhara Kwa mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…