A winner is a dreamer who never gives up

A winner is a dreamer who never gives up

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Nukuu hii aliwahi kuitoa Hayati Nelson Mandela alipokuwa akiwapa moyo wapigania uhuru na wapinga ubaguzi wa Afrika Kusini kwa yote yaliyowapata kutoka kwa Makaburu.

Naomba niazime nukuu hii na kuipeleka kwa viongozi wa CHADEMA waliochukuliwa majumbani mwao na Polisi waliotumwa kwa lengo la kuwapa kesi ya kutunga ya Ugaidi ili kuwamaliza kisiasa na kimaisha (ili wafie gerezani)

A dreamer be the one  A winner be the one  A fighter be the one.jpg
 
Lakini Je, Lazaro Mambosasa na wanaomtuma wataishi milele?
 
Siyo kila msemo unatumika kwa kila mtu kila mahali, sasa wapiga dili na corrupt kama Mbowe, tundu au Zito kabwe Co. huo msemo unawahusu nini?
 
Kumbe mbwembwe zoote za Armstadam ni bure.
kakaa kimyaa mbwa huyu,kawaacha makamanda kwenye mataa hata kutweet atweet tena.
Hahahahahah, mzungu kaona atazidi kupoteza hela zake maana hata zile gharama za kuishi Turkey (baada ya kukoswa koswa kudakwa wazalendo wa kitanzania akaamua kwenda kuweka kambi uturuki kwenye hotel za bei nafuu, maana kenya napo alishindwa maana wangemdaka tu). Ila wapinzani wanachekesha sana
 
Back
Top Bottom