Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mjulishe MambosasaHuku Kwetu Mbagala Shwaari kabisa...na nimeambiwa Buza 'bardiiiiiiii ' Hakuna cha maandamano wala 'matembezi mfuatano'.... Tujuzeni huko kwenu vipiii?
Dar yote pako shwariHuku Kwetu Mbagala Shwaari kabisa...na nimeambiwa Buza 'bardiiiiiiii ' Hakuna cha maandamano wala 'matembezi mfuatano'.... Tujuzeni huko kwenu vipiii?
Maandamano yamefeli, nyie ni losers [emoji16][emoji23]Mjulishe Mambosasa
Mbowe je? Mliwadhalilsha kina mwigamba na kina shonza bado mnahangaika na utakatifu' ni kheri CCM kuliko ninyiLakini Je Lazaro Mambosasa na wanaomtuma wataishi milele ?
Mungu akuweke mahali pema peponi , AminaKumbe mbwembwe zoote za Armstadam ni bure.
kakaa kimyaa mbwa huyu,kawaacha makamanda kwenye mataa hata kutweet atweet tena.
Wakati huo unaongia Jf kwa VPN ujinga mzigoMaandamano yamefeli, nyie ni losers [emoji16][emoji23]
Hahahahahah, mzungu kaona atazidi kupoteza hela zake maana hata zile gharama za kuishi Turkey (baada ya kukoswa koswa kudakwa wazalendo wa kitanzania akaamua kwenda kuweka kambi uturuki kwenye hotel za bei nafuu, maana kenya napo alishindwa maana wangemdaka tu). Ila wapinzani wanachekesha sanaKumbe mbwembwe zoote za Armstadam ni bure.
kakaa kimyaa mbwa huyu,kawaacha makamanda kwenye mataa hata kutweet atweet tena.
Watumwa wanasherehekea utumwa waoWakati huo unaongia Jf kwa VPN ujinga mzigo
Kuna uhusiano gani kati ya jf, kutumia vpn na hayo maandamano yaliyo feli ewe loser? [emoji16][emoji23]Wakati huo unaongia Jf kwa VPN ujinga mzigo
Na ni watumwa kweliWatumwa wanasherehekea utumwa wao
karibu sana