A ya Physics/Math haina Umuhimu kwa "Kingereza hakipo"

watanzania wengi wanajua kusoma kingereza ila hawajui kulonga kingereza fluently , na hapa linakuja swala hili hata kwa viongozi wetu bila kuandikiwa hotuba hawatoboi.
 
Uwongo. hao wanafunzi wa vyuo ndo sisi us know well that language brother you is wrong.
 
English aise, nikiongea na washkaji zangu ninakuwa na moto wa kuwaongelesha kiingereza wakija wazungu kuniongelesha nakula kona.
 
"UDSM ya 37, Muhimbili ya 89, SUA na UDOM za 120+ tatizo Lugha kuandika research inatakiwa uwe na uwanda mpana wa lugha, "HATUNA" tunaamini vipanga ndio wapo mavyuoni ila vyo vipo mkiani "LUGHA TATIZO" sio kwamba hawana cha kuandika ,wanacho ila hakieleweki kwa "Native speaker"


Nakubaliana na wewe 100%
 
Ila hii lugha imenitenda vibaya sana, pamoja na kupata dov 1 o level na A level,upper second chuo ila kiingereza changu cha papatu papatu, interview ya kwanza kabisa nimemaliza chuo nilifanya na Jubilee insurance nikahaibika sana,mpaka wakaanza kudoubt kama vyeti ni vyangu kweli.
Hili kosa siwezi kuja kulifanya kwa wanangu,kabla ya yote lugha lazima waweze kuiongea kwa ufasaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…