A-Z Rich Mavoko kuondoka WCB - Mchawi Babu Tale na Sallam

Umepanik brother"nilichokujibu ni sahihi kabisa soma tena unielewe!
Kaaaa yani habar za udaku ambazo tunapoteza muda humu jf ndo nipanic maajabu haya tuddy kafanya kazi kibao za diamond na ndio producer anaemtumia mara kwa mara
 
Huna hoja umejaa majungu kama ilivyo jinsia yako.
 
Watu wasiovumilika ni kuachana nao tu mkuu kwa wema
 
Hahaaa nategemea kuona team mavoko..
Kwa style hii TZ tunaanzaje kutoboa??
 
Hata mimi nashangaa kwakweli. Kwa mavoco yupi wakumshindanisha na diamond. Watu wakiishiwa hoja ni uwongo tu husambaza
 
Mavoko hana tofauti na Dullayo wote wanaimba ujinga ujinga tu
 
Duuuuh wabongo bhana.... hivi hizi taarifa mnazipata wap? Leteni sourse iliyokamili... maana hakuna sehemu ambayo mavoko amesema kaachana na WCB... hakuna sehemu ambayo menejiment ya wasafi imetangaza kuachana naye... ila taarifa iliyopo ni kuwa mavoko anaandaa albam yake.... na hii imethibitishwa na mavoko mwenyewe... sijui mara mavoko hatoi nyimbo mara kafanyaje... mbona hata darlin hatoi? Na yupo kimya sana... kuhusu public show.. tunajua mavoko sio mtu wa show off.... ndo maana hata page yake ya insta ina muda mrefu haijapostiwa chochote. Yaan ndo hvo... km kuna mtu atataka kubishia hapa alete ushahidi wa kutosha ili nimwelewe sio brabra za udaku wa kimbea wa insta mnaleta humu kwa magreat thinkers mkajua tutawaelewa... LETENI USHAHIDI WA KUTOSHAAAAA.....
 
Hivi Huyu diamond ni nani mbona watu wanamjadili sana..?
A young, powerful & famous musician from East Africa.... the owner and C.E.O of Wasafi Company Inc. possessing W.C.B label, Wasafi studios, Wasafi media group, Chibu perfume, and Diamond karanga. Due to his influence on social media... he has been trusted by most of companies and given lots of endowsements in companies like cocacola, vodacom, gsm, safaricom kenya, belaire from france, chill sauce, and currently working with Gucci... so ndo hivo ndo maana vijana wengi wanamjadili huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…