A3 Scanner(Epson) inahitajika

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Kama subject ilivyo,naulizia anaeuza scanner za Epson,A3. Iwe mpya
 
Nikishakua na uhakika wa upatikanaji wake. Si unajua kila jambo ni hesabu. Nauli ni ndefu,unaweza kuja na usiipate
Hizo ni zaidi ya 1.6 m sokoni. Itafte akaunt inaitwa chimbo digital Instagram mana wahusika niliwasiliana nao hawana hizo.
Mama una ndugu yako au wewe mwemyew tuwasiliaNe kesho nitakuwa hapo kariakoo
 
Hizo ni zaidi ya 1.6 m sokoni. Itafte akaunt inaitwa chimbo digital Instagram mana wahusika niliwasiliana nao hawana hizo.
Mama una ndugu yako au wewe mwemyew tuwasiliaNe kesho nitakuwa hapo kariakoo
Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…