yeye anasimama kuwawakilisha binadamu wote wa jinsia yake. Samahani kama nimekukwaza.
huyo demu anaitwa nani vile?? Mwananjaa?
Ungemtumia yeye huo ujumbe ungekua umefanya la maana kweli badala ya kujifanya umemaind hapa huku huko mtaani kwenu unamchekea na sio ajabu ukampa anachotaka.
Na khusu "wanawake kuwa na wendawazimu " take it back. . . huyo demu wako wa kitambo ndie mwenye wendawazimu
Najiuliza je mke wangu naye anafanya huu upuuzi?. Kichwa kinauma.
anyway, vyovyote vile ila namaanisha mwanamke. I will never trust them any more.
Kuna demu flani hapa mtaani, next wiki anaolewa. Ni demu wangu wa kitambo sana. Ameshaniaga kuwa anaolewa.
Jana amenitumia sms kuwa japokuwa anaolewa ila hatoniacha. Bado ananipenda sana. Na dozi zangu hatozisahau, na anatamani ziendelee.
Hapa najiuliza
Hivi nyie wanawake mna wendawazimu?. Kwanini ukubali kuolewa na mtu usiyempenda.
Mnakera sana, Heshmuni waume zenu.
Akijileta mi natandika.