bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
anaanzwa na alphatbeti mkuu. Amenikera sana.
Najiuliza je mke wangu naye anafanya huu upuuzi?. Kichwa kinauma.
huyo demu anaitwa nani vile?? Mwananjaa?
anaanzwa na alphatbeti mkuu. Amenikera sana.
Najiuliza je mke wangu naye anafanya huu upuuzi?. Kichwa kinauma.
Bila shaka huyo Demu atakuwa ni wa Kwa Mtogole..........................!
teh teh teh mkuu kwani mademu wa pale wako vipi?mana nakaribia kuoa nisijekuoapo wa huko ikawa tabu.
Ungemtumia yeye huo ujumbe ungekua umefanya la maana kweli badala ya kujifanya umemaind hapa huku huko mtaani kwenu unamchekea na sio ajabu ukampa anachotaka.
Na khusu "wanawake kuwa na wendawazimu " take it back. . . huyo demu wako wa kitambo ndie mwenye wendawazimu
Heh heh wanabeijing wana ghazabu c kitotoUngemtumia yeye huo ujumbe ungekua umefanya la maana kweli badala ya kujifanya umemaind hapa huku huko mtaani kwenu unamchekea na sio ajabu ukampa anachotaka.
Na khusu "wanawake kuwa na wendawazimu " take it back. . . huyo demu wako wa kitambo ndie mwenye wendawazimu
mpashe apashike huyo.. Lol.
huu ni wendawazimu. Haiwezekani anipende wakati ameshaolewa.