Aaahhh...Shabash...konde ya tende jamani!!!

Hamna kitu hapa au weupe ndo unakuzingua?
 
Hamna kitu hapa au weupe ndo unakuzingua?
...Huenda jamaa ni msukuma si unajua wanaweza kupanda dau kwa demu mweupe mpaka basi.....:becky::becky::becky::smile-big:
 
Kweli mdada ametulia picha saaafi kabisa
Mbona mimi sioni lolote; nini hasa hicho kimini au tatoo kwenye kisigino? Jamani hata usafiri hautoshi!!. Lakini nisiseme saaaaaaaana maana tunatofautiana katika vionjo.
 
Katy Perry hamna kitu hapo. Hata Snoop Dogg alikataa kupima oil.



Hebo ona vitu vya uhakika.......

 
Ab-Tichaz, Nadhani hiyo kiatu ni gold, masikioni ni diamonds na ruby, na hako kabinti kadogo, sio kale ka first family?,
Pia sijaelewa lengo la thread, kwani leo tayari ni Ijumaa, Furahi Day?.
 
:A S 8:Acheni kutokwa udenda:A S 8:...!:A S 8:Wazuri bado hawajazaliwa!..huh!:A S 8:
 
Katy Perry hamna kitu hapo. Hata Snoop Dogg alikataa kupima oil.



Hebo ona vitu vya uhakika.......



Hiyo picha ya pili hayo ndo mambo yetu bana, sis na wazungu wapi na wapi wadau kitu si unakiona mwenyewe butty la uhakika guu aaah ndo maan NABAKI AFRIKA hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…