Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ungekuwa mwanachama ungeshauri Nini?Hivi serikali ikifuta kesi ya Mbowe peke yake Chadema watafanya nini? Watamshauri Mwenyekiti kiti wao asikubali kutoka mpaka wakina Adamoo nao waachiwe? Au watasema atoke ili awaongoze kupambania uhuru wa wanachama wenzake ambao bado wako mahabusu?
Amandla...
Wewe uwe wa kwanza wengine wafuatie.magaidi tu hao wanyongwe
Hapo itafutwa hiyo kesi na washtakiwa wote wanakuwa huruHivi serikali ikifuta kesi ya Mbowe peke yake Chadema watafanya nini? Watamshauri Mwenyekiti kiti wao asikubali kutoka mpaka wakina Adamoo nao waachiwe? Au watasema atoke ili awaongoze kupambania uhuru wa wanachama wenzake ambao bado wako mahabusu?
Amandla...
Ningekuwa mwanachama ningesema asitoke bila hatma ya wakina Adamoo kujulikana. Ila nadhani wakina Adamoo hawatakubali abaki nao gerezani.Ungekuwa mwanachama ungeshauri Nini?
Wewe uwe wa kwanza wengine wafuatie.magaidi tu hao wanyongwe
Kesi ni moja, iwapo Kwa mmoja ni bambikizi maana yake ni bambikizi Kwa wote.Ningekuwa mwanachama ningesema asitoke bila hatma ya wakina Adamoo kujulikana. Ila nadhani wakina Adamoo hawatakubali abaki nao gerezani.
Amandla...
Hawawezi kusema hawana ushahidi wa kutosha dhidi ya Mbowe lakini wanao dhidi ya wenzake? Nakumbuka yule binti aliyekuwa mahabusu pamoja na Twaha alitolewa ili apewe ubunge lakini Twaha alibaki akisota.Wewe uwe wa kwanza wengine wafuatie.
Kesi ni moja, iwapo Kwa mmoja ni bambikizi maana yake ni bambikizi Kwa wote.
Ukiona hivyo ni mambo ya michongo tu.Hawawezi kusema hawana ushahidi wa kutosha dhidi ya Mbowe lakini wanao dhidi ya wenzake? Nakumbuka yule binti aliyekuwa mahabusu pamoja na Twaha alitolewa ili apewe ubunge lakini Twaha alibaki akisota.
Nadhani kuna haja ya kubadilisha kauli mbiu iwe " Mbowe na wenzake sio magaidi."
Amandla...
Mkuu Fundi Mchundo , kesi ikifutwa kwa Nolle, ni kesi yote inafutwa na washitakiwa wote wanaachiwa huru!. Hii kesi ya Mbowe imethibitisha Tanzania hatuna kabisa good criminal defence attorneys wa level ya Murtaza Lakha!.Hivi serikali ikifuta kesi ya Mbowe peke yake Chadema watafanya nini? Watamshauri Mwenyekiti kiti wao asikubali kutoka mpaka wakina Adamoo nao waachiwe? Au watasema atoke ili awaongoze kupambania uhuru wa wanachama wenzake ambao bado wako mahabusu?
Amandla...
Hivi serikali ikifuta kesi ya Mbowe peke yake Chadema watafanya nini? Watamshauri Mwenyekiti kiti wao asikubali kutoka mpaka wakina Adamoo nao waachiwe? Au watasema atoke ili awaongoze kupambania uhuru wa wanachama wenzake ambao bado wako mahabusu?
Amandla...
Na lile li pisto na misokoto ya bangi je nayo sio makosa?Kama Mbowe anahusishwa na kufadhili ugaidi akionekana hana hatia, iweje wale waliohusishwa na huo ugaidi wawe na hatia?
Muhimu waachiwe wote, sio kumtoa Mbowe na kuwaacha kina Adamoo wasiwe na mtetezi.
Kama Mbowe anahusishwa na kufadhili ugaidi akionekana hana hatia, iweje wale waliohusishwa na huo ugaidi wawe na hatia?
Muhimu waachiwe wote, sio kumtoa Mbowe na kuwaacha kina Adamoo wasiwe na mtetezi.
Mbona utakua upumbavu, kwamba Mbowe afutiwe mashitaka,alafu wakina ADAMOO wabaki ndani,ILIHALI KESI yao wote ni mojaHivi serikali ikifuta kesi ya Mbowe peke yake Chadema watafanya nini? Watamshauri Mwenyekiti kiti wao asikubali kutoka mpaka wakina Adamoo nao waachiwe? Au watasema atoke ili awaongoze kupambania uhuru wa wanachama wenzake ambao bado wako mahabusu?
Amandla...
KESI za kihuni ndivyo zilivyo..itabidi waachiwe wote.
..lakini kesi hii ni ya ajabu kidogo.
..serikali inadai kina Adamoo walikiri makosa mwezi August 2020.
..lakini Mbowe anayetuhumiwa kuwa ndiye recruiter, financier, na mastermind, wa ugaidi wamekamatwa July 2021.
Si mnaweza kushitakiwa pamoja lakini wengine wakaachiwa kwa kukosa ushahidi na wengine wakatiwa hatiani?Mbona utakua upumbavu, kwamba Mbowe afutiwe mashitaka,alafu wakina ADAMOO wabaki ndani,ILIHALI KESI yao wote ni moja
Wewe Mzee kwani kuna mahakama kama wakati ule sasa ni michongoMkuu Fundi Mchundo , kesi ikifutwa kwa Nolle, ni kesi yote inafutwa!. Hii kesi ya Mbowe imethibitisha Tanzania hatuna kabisa criminal defence attorney wa level ya Murtaza Lakha!.
Ingekuwa ni Lakha, saa hizi nolle zamani!. Angemaliza hii kesi day one. Kwa vile kuna uthibitisho kuna mtu anaitwa Lijenje alikamatwa nao na hadi sasa hajulikani alipo, kazi ya kwanza ya Murtaza Lakha ingekuwa ni kuanza kwa kujaza tuu kitu kinaitwa Habeas Corpus, kuomba mahakama, iiamuru serikali kumleta Linjenje mahakamani!. Kesi ingeishia hapo!.
Hawa mawakili waliopo kiukweli ni kama hakuna kitu kabisa!.
P