Zanzibar 2020 AAFP Yaahidi kuwalipia vijana mahari

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya chama cha AAFP, Said Soud Said amesema akipata madaraka ya kuiongoza Zanzibar atahakikisha vijana wanaoa na mahari itatolewa na serikali.


Your browser is not able to display this video.


Amesema hatua hiyo itapunguza matukio ya ubakaji ambayo yamekuwa yakirekodiwa Zanzibar. Hivyo basi amesema katika serikali yake, kijana akitaka kuoa aende serikalini na serikali itashughulikia

Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa Kampeni Zanzibar
 
Hivyo serikali itawaolea! Sasa mke wa hivyo hata akichepuka huna la kumfanya!.. maana katolewa mahari na serikali hivyo ni waserikali..😂
 
Kwani kuoa Zanzibar mahari shilingi ngapi?Nijilipue kutafta mke huko[emoji1787]
 
Kuna majitu Yana akili za kuvukia barabara tu. Sasa mgombea urais anakuwa mpumbavu kiwango Cha uprofesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…