Junior Clinton Mr.
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 1,075
- 1,423
Huna kazi umesha semasome of us have real jobs... hapana kuketi kesha hapa JF.. this is nothing but my lunch break.. tafuta kazi Geza.. baba mzima job nikuketi JF kutafuta likes and comments.. tafuta Reality show huko Azam TV😀😀😀😀😀😀
Jobless muarabu kutoka Kenya upo??some of us have real jobs... hapana kuketi kesha hapa JF.. this is nothing but my lunch break.. tafuta kazi Geza.. baba mzima job nikuketi JF kutafuta likes and comments.. tafuta Reality show huko Azam TV😀😀😀😀😀😀
Issues zako ni kuwa Socialite ama personality yako ni kuwa slay queen?Issues vs personalities
Issues zako ni kuwa Socialite ama personality yako ni kuwa slay queen?
Nunua tampons na umeze iron pills.Bring the issues bwana mdogo. Achana na story za kinyonge.
Nunua tampons na umeze iron pills.
Wameanza utoto hawa jamaa. Hawa hoja. Nilichogundua wanataka kugeuza JF kuwa jukwaa la watotoOngea issues acha unyonge.
Wameanza utoto hawa jamaa. Hawa hoja. Nilichogundua wanataka kugeuza JF kuwa jukwaa la watoto
Hakuna kitu kibaya kuingia kwenye vita alafu wewe ukawa unajilinda baada yakupigana. Hawa wanakuja na mbinu za kitoto wakizani akili zetu nikama zao.Ahaaa haaa haaa
Nimestukia HATA MIMI. Hawana HOJA. Tumewagaragaza mpaka wamechanganyikiwa wanafungua account mpya na kuanza KUONGEA issue za kinyonge.
But EABL is Diageo owned n the figures u gave doesnt factor a closure of South Sudan breweries aside the fact the market capitalization figures u quoted for TBL is of 2013. By 2017 that amount shot up to Tshs 4.3 Trln. Check hereView attachment 721165
which equates to 4 trillion Tshillings... 1/5 ya tanzania budget
View attachment 721177
10 times TBL.... even with the $100 million still TBL will only be half EABL
View attachment 721176
just shows how cheap Tanznania is i'd sayBut EABL is Diageo owned n the figures u gave doesnt factor a closure of South Sudan breweries aside the fact the market capitalization figures u quoted for TBL is of 2013. By 2017 that amount shot up to Tshs 4.3 Trln. Check here
TBL with 4 breweries plants in Mwanza, Arusha, Dar n Mbeya; 2 Maltings plants in Moshi n Iringa, 1 distiller in Dar, 1 winery in Dodoma n 1 Darbrew in Dar for local brew can not have that low market capitalization.
Wamuuluze Dangote wasije juta!viwanda vya bia sasa hivi vina shift moja tuu badala ya tatu.Na bia wanazotengeneza sasa hivi soko ni zambia bongo mauzo yameshuka vibaya sana.Bar zinafunguliwa saa 10 jioni na kifungwa saa 4 usiku.Utauza nini?AB-InBev to Expand in Tanzania With New $100 Million Brewery
By
Samuel Gebre
Mon Mar 19 2018 20:32:38 GMT+0100 (CET)
Anheuser-Busch InBev NV agreed to build a $100 million brewery in Tanzania as the world’s biggest beermaker steps up investment on the continent to meet booming demand.
The plans for a facility in Dodoma, the East African nation’s capital, were agreed following a meeting between President John Magufuli and Ricardo Tadeu, AB-InBev’s head of Africa. The company is also building a brewery in Nigeria, and said earlier this month the continent was among its fastest-growing territories.
Read More: AB InBev Steps Up Spending in Africa to Match Sales Growth
AB-InBev to Expand in Tanzania With New $100 Million Brewery
AB InBev to open $100m brewery in Tanzania
Swala la Dangote nikuwa anabadili mitambo yakiwandaWamuuluze Dangote wasije juta!viwanda vya bia sasa hivi vina shift moja tuu badala ya tatu.Na bia wanazotengeneza sasa hivi soko ni zambia bongo mauzo yameshuka vibaya sana.Bar zinafunguliwa saa 10 jioni na kifungwa saa 4 usiku.Utauza nini?
No research no right to speak. TBL wamesema toka 2010 hadi 2015 graph yao ya faida ilikuwa ikishuka. Toka 2015 hadi 2018 graph inapanda nahiyo nikutokana na serikali ya Magu kuto pandisha kodi za beverages.Wamuuluze Dangote wasije juta!viwanda vya bia sasa hivi vina shift moja tuu badala ya tatu.Na bia wanazotengeneza sasa hivi soko ni zambia bongo mauzo yameshuka vibaya sana.Bar zinafunguliwa saa 10 jioni na kifungwa saa 4 usiku.Utauza nini?
Hii hapa hotuba ya Magufuli alipo ongelea juu ya viwanda vya beer kupata faida ndani ya awamu yake na swala la kiwanda cha Dangote kuwa jirani zetu mnazusha habari kwenye media zenu. Hïi ilikuwa nisiku amekutana na wafanyabiashara wa viwanda na kusikiliza kero zao.Wamuuluze Dangote wasije juta!viwanda vya bia sasa hivi vina shift moja tuu badala ya tatu.Na bia wanazotengeneza sasa hivi soko ni zambia bongo mauzo yameshuka vibaya sana.Bar zinafunguliwa saa 10 jioni na kifungwa saa 4 usiku.Utauza nini?
No research no right to speak. TBL wamesema toka 2010 hadi 2015 graph yao ya faida ilikuwa ikishuka. Toka 2015 hadi 2018 graph inapanda nahiyo nikutokana na serikali ya Magu kuto pandisha kodi za beverages.
Ukiona uwekezaji mkubwa kama huo jua wenzako wamefanya research. Hawabatishï