Ababu Namwamba political miscalculations

Ababu Namwamba political miscalculations

zitto junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
20,537
Reaction score
31,729
Nimemsikiliza kwa makini sana kwenye mada za bunge la Kenya na pia midahalo mbalimbali ikiwemo ule wa Leo dhidi ya woman rep. wa Nyanza to be honest this guy is so bright and a promising leader ila alifanya miscalculations kuhama upinzani wakati anajua wazi ametokea kwenye stronghold ya upinzani

hili liwe fundisho kwa wanasiasa vijana kutojiona MIUNGU WATU kisa umaarufu wa kisiasa na wajifunze patience ili wafikie malengo i just hope he will bounce back maana katika wanasiasa wote wa upinzani hyu yupo bright sana hasa kwenye kujenga hoja
 
Walimzima Namwamba kama mshumaa kwenye kile chama cha Raila Odinga walipoona nyota yake inazidi kung'aa ndani ya chama kisa tu yeye si mjaluo. Nilimkubali sana hata akiwa upinzani, alikuwa mwenyekiti wa ile kamati nyeti ya bunge, P.A.C Public Accounts Commitee. Walimfukuza asikudanganye mtu! Very sharp man!
 
Walimzima Namwamba kama mshumaa kwenye kile chama cha Raila Odinga walipoona nyota yake inazidi kung'aa ndani ya chama kisa tu yeye si mjaluo. Nilimkubali sana hata akiwa upinzani, alikuwa mwenyekiti wa ile kamati nyeti ya P.A.C Public Accounts Commitee. Walimfukuza asikudanganye mtu! Very sharp man!
But do u think he made a ryt move to dump the party which groomed him that led to his downfall at the August 8 elections
 
But do u think he made a ryt move to dump the party which groomed him that led to his downfall at the August 8 elections
His exit was eminent after he declared his interest in the Secretary General post in ODM. Which he was going to win very easily. They disrupted the election remember. The post was held then by Anyang' Nyong'o, close ally of Raila from Nyanza! One way or another he was going to lose out! I dont know if it would have been the right decision for him to stay though.
 
But do u think he made a ryt move to dump the party which groomed him that led to his downfall at the August 8 elections

Wewe hapo hebu tuambie nini sababu za Zitto Kabwe kuhama kutoka CHADEMA 'the party that groomed him'....Your own words.
 
Wewe hapo hebu tuambie nini sababu za Zitto Kabwe kuhama kutoka CHADEMA 'the party that groomed him'....Your own words.
zitto kabwe alitimuliwa hakuondoka na tofauti na ababu zitto alibaki opposition hakusupport CCM kwenye uchaguzi wa 2015 na ndio maana hakufa kisiasa unlike namwamba ambaye naona kma atakufa kisiasa
 
zitto kabwe alitimuliwa hakuondoka na tofauti na ababu zitto alibaki opposition hakusupport CCM kwenye uchaguzi wa 2015 na ndio maana hakufa kisiasa unlike namwamba ambaye naona kma atakufa kisiasa

Mkuki kwa nguruwe mchungu kwa binadamu.... Fahamu hata naye Ababu alitamaushwa na uongozi wa chama chake cha upinzani kama ilivyokua kwa Zitto.
Halafu hii dhana kwamba nyota yako ya siasa inang'aa tu pale ukiwa kwenye upinzani imepitwa na wakati, unaweza ukakua kisiasa popote pale ilmradi una malengo yako, msimamo dhabiti na utashi na uzalendo kwa ajili ya nchi...basi.
Fahamu hata mlengo wa serikali sio kwamba ni wa mashetani ila upo umejengwa na raia wa nchi na wenye nia njema.

Mimi nilikua naunga mkono upinzani miaka ya themanini na tisini na nilihusika kwenye maandamano ya kila aina, tuliaminishwa kwamba wote serikalini sio watu na hawafai, lakini baadaye upinzani walipochukua uongozi ndio nikaja kujua hamnaga kabisa, yaani kila kiongozi yupo na maono na sababu zake.
 
On a side note though,IEBC server is still counting upto date.
Uhuru Kenyatta is at 63,256,061
Raila Odinga is at 56,297,894
Atwoli told Chiloba "asipozima hiyo computer Uhuru will become the president of Africa."[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
zitto kabwe alitimuliwa hakuondoka na tofauti na ababu zitto alibaki opposition hakusupport CCM kwenye uchaguzi wa 2015 na ndio maana hakufa kisiasa unlike namwamba ambaye naona kma atakufa kisiasa

Namwamba comes from budalangi,a constituency whose people are known not to elect a person for more than two terms,and he knew that this time round whether he is in ODM or out of ODM its not going to be a walk in the park therefore he had to make a decision. His star is not deemed you will see a firebrand Namwamba 2022. Remember odm is going to die should raila lose the October 17 elections.
 
Mkuki kwa nguruwe mchungu kwa binadamu.... Fahamu hata naye Ababu alitamaushwa na uongozi wa chama chake cha upinzani kama ilivyokua kwa Zitto.
Halafu hii dhana kwamba nyota yako ya siasa inang'aa tu pale ukiwa kwenye upinzani imepitwa na wakati, unaweza ukakua kisiasa popote pale ilmradi una malengo yako, msimamo dhabiti na utashi na uzalendo kwa ajili ya nchi...basi.
Fahamu hata mlengo wa serikali sio kwamba ni wa mashetani ila upo umejengwa na raia wa nchi na wenye nia njema.

Mimi nilikua naunga mkono upinzani miaka ya themanini na tisini na nilihusika kwenye maandamano ya kila aina, tuliaminishwa kwamba wote serikalini sio watu na hawafai, lakini baadaye upinzani walipochukua uongozi ndio nikaja kujua hamnaga kabisa, yaani kila kiongozi yupo na maono na sababu zake.
I didnt mean unatakiwa ubaki oposition ili uweze kushine kwenye siasa what i meant is the political base of where ur comin from mfano peter munya angeenda NASA angekufa kisiasa sababu wameru hawatowahi mpigia kura odinga ama NASA huwa wanasupport wakikuyu hivyo 2022 asingerudi kwenye seat yake vilevile namwamba anatokea kwenye base ya upinzani and thats wea my point falls na hizo mathematic ndio alizozifanya zitto na pia mohammed ali wa nyali maana wangeenda jubilee ama CCM wangekufa kisiasa sijui nimeeleweka


ni kweli wanasiasa sio wa kuwaamini sana maana ni huyuhuyu rutto aliesema kenya haitoendelea chini ya mkikuyu ila leo hii anampigia kampeni hku akimtukana odinga wakati 10 years ago alikuwa anadai odinga kashinda ila wakikuyu wamempora!!! funny
 
Namwamba comes from budalangi,a constituency whose people are known not to elect a person for more than two terms,and he knew that this time round whether he is in ODM or out of ODM its not going to be a walk in the park therefore he had to make a decision. His star is not deemed you will see a firebrand Namwamba 2022. Remember odm is going to die should raila lose the October 17 elections.
hapana I disagree unajua kma wameweza kumpa wanjala a 3rd term kivp wamnyime namwamba and even the gap was small partly due to the divided sides of the opposition in the area I believe kma angebaki ODM angekuwa MP bado anayesubiri kuwa gavana 2022 but ryt now jubilee watamtupa maana wameona hana impact sababu kma jimboni kwake anaanguka je kivp 2022 atawasaidia kupata kura za mulembe???
 
His exit was eminent after he declared his interest in the Secretary General post in ODM. Which he was going to win very easily. They disrupted the election remember. The post was held then by Anyang' Nyong'o, close ally of Raila from Nyanza! One way or another he was going to lose out! I dont know if it would have been the right decision for him to stay though.


Wacha hii maneno ya kudanganya watu Prof Anyang Nyong hakugombea na aliyekua anapewa kipaumbele ni dr Agness Zani . Ababu alidhani kuivuruga Odm ni kazi rahisi kupitia kabila lake lakini akasahau kua akina Oparanya sio watu wa mchezo mchezo. Hata watu waliokua upande wa Ababu kama Joho walivyogundua kua ni mnafiki wakaachana nae.
 
Back
Top Bottom