Abarikiwe aliyetoa wazo la kuanzisha JF

Abarikiwe aliyetoa wazo la kuanzisha JF

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Yaani siku nimekuwa mtaalamu wa vitu na mambo mbalimbali, mapenzi. Tekno hama na hata wizi, ujanjaujanja na habari kalikali vyote nimevifahamu hapa.

Mwavenje sana
 
sanaaa tuu!..yakwangu niliyojifunza ni makubwa zaidi...
 
wabarikiwe wanaoifanya iendelee kuwepo..
 
Asante sana mkuu. Ni mimi na maxence melo ndio tulikuja na hili wazo baada ya kuona watanzania wanahitaji sehemu ya kutoa mawazo yao bila woga.

Jiskie upo nyumbani na karib sana
 
Asante sana mkuu. Ni mimi na maxence melo ndio tulikuja na hili wazo baada ya kuona watanzania wanahitaji sehemu ya kutoa mawazo yao bila woga.

Jiskie upo nyumbani na karib sana

hahahaha! Duh:coffee:
 
Asante sana mkuu. Ni mimi na maxence melo ndio tulikuja na hili wazo baada ya kuona watanzania wanahitaji sehemu ya kutoa mawazo yao bila woga.

Jiskie upo nyumbani na karib sana
Lawyer bana lol.
 
Jf si mchezo,yaani nafarijika sana kuchat na watu nsiowajua! Hata hvyo its fine ipo cku tutajuana tu mbele kwa mbele,lkn naomba kama kuna wanjf wa Shy-town tujulishane hapa!
 
Mi natamani sana kuwaona pia.Jamani wana jf wa songea mikono juu!
 
Kitambo sana
Jf ya enzi hizooo ilikuwa fireeeee

Siku hizi dah..ndio maana wengi waliochangia huu uzi hawapo humu jf

Either wameona utoto umezidi,au majukumu,afya na wengine labda hatukonao duniani(rip)
 
Kitambo sana
Jf ya enzi hizooo ilikuwa fireeeee

Siku hizi dah..ndio maana wengi waliochangia huu uzi hawapo humu jf

Either wameona utoto umezidi,au majukumu,afya na wengine labda hatukonao duniani(rip)
Mambo ya nyakati
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom