Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwagia mtu pilipili usoni, haki ya mungu tena. Au nampa kibao kizito huku nimeuma meno mpaka akili imrudi katika "FACTORY SETTING".Shughuli yote hiyo unajikuta umekabidhiwa kabakuli cha maharage au jiran yako ndo ana nyama na huruhusiwi ku kross boda[emoji16][emoji16][emoji16]
Dah best umenifungua akili ndo maana sisi manigger IQ zetu zina mushkel kwasababu ya kula tu nafaka.Mawazo yangu yamekwenda mbali sana, ninakumbuka enzi za utumwa. Ilikua ni rahisi kuwalisha watumwa nafaka nyingi ili wapate nguvu za kufanya kazi na nafaka iliyopatikana kwa wingi ilikua mahindi.
Best rafiki yangu ameolewa na mzungu, sasa Jumamosi mzungu anakwenda Ferry na cooler box, anabeba changu wa heshima alifika nyumbani anawabanika anatengeneza salad na brown bread anawapa watoto.Mawazo yangu yamekwenda mbali sana, ninakumbuka enzi za utumwa. Ilikua ni rahisi kuwalisha watumwa nafaka nyingi ili wapate nguvu za kufanya kazi na nafaka iliyopatikana kwa wingi ilikua mahindi.
Hii desturi ndiyo misingi ya upendo inapoanzia. Katika hawa watoto ukubwani huwezi kuacha kumsaidia uliekula nae sahani moja utotoni.Hii inaitwa Boma. Ukoo umekamilika
Hapo kuna watoto wa kaka ba mdogo ba mkubwa bibi na babu
Huu ndio ujamaa. Unapikwa ugali wa jumuiya kila mmoja aje na mboga yake. Ni hapo mama kama atakupa mchicha bila mchuzi ugali utashuka kwa shida sana
😂😂😂😂Namwagia mtu pilipili usoni, haki ya mungu tena. Au nampa kibao kizito huku nimeuma meno mpaka akili imrudi katika "FACTORY SETTING".