Abarikiwe mpishi ajawe na afya njema na furaha moyoni

Abarikiwe mpishi ajawe na afya njema na furaha moyoni

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1619465899382.png
 
Mawazo yangu yamekwenda mbali sana, ninakumbuka enzi za utumwa. Ilikua ni rahisi kuwalisha watumwa nafaka nyingi ili wapate nguvu za kufanya kazi na nafaka iliyopatikana kwa wingi ilikua mahindi.
 
Mawazo yangu yamekwenda mbali sana, ninakumbuka enzi za utumwa. Ilikua ni rahisi kuwalisha watumwa nafaka nyingi ili wapate nguvu za kufanya kazi na nafaka iliyopatikana kwa wingi ilikua mahindi.
Dah best umenifungua akili ndo maana sisi manigger IQ zetu zina mushkel kwasababu ya kula tu nafaka.

Mwarabu na mzungu ni watu wabaya sana.
 
Kabila la wenzetu hilo, wao wali ni wa mwisho kusakafia, sasa uwape sijui chips au ndizi km umeolewa huko unafukuzwa siku hiiyo hiyo
 
Mawazo yangu yamekwenda mbali sana, ninakumbuka enzi za utumwa. Ilikua ni rahisi kuwalisha watumwa nafaka nyingi ili wapate nguvu za kufanya kazi na nafaka iliyopatikana kwa wingi ilikua mahindi.
Best rafiki yangu ameolewa na mzungu, sasa Jumamosi mzungu anakwenda Ferry na cooler box, anabeba changu wa heshima alifika nyumbani anawabanika anatengeneza salad na brown bread anawapa watoto.

Rafiki yangu anamwambia unawaharibu watoto, ungeacha niwatengenezee mchuzi wa nazi hao changu wangetusogeza hata kwa mwezi mzima. Mzungu anasema watoto waachwe wale chakula.

Ndipo nilipoona tofauti ya kula chakula na kula ili uishi.
 
Hii inaitwa Boma. Ukoo umekamilika
Hapo kuna watoto wa kaka ba mdogo ba mkubwa bibi na babu
Huu ndio ujamaa. Unapikwa ugali wa jumuiya kila mmoja aje na mboga yake. Ni hapo mama kama atakupa mchicha bila mchuzi ugali utashuka kwa shida sana
 
Hii inaitwa Boma. Ukoo umekamilika
Hapo kuna watoto wa kaka ba mdogo ba mkubwa bibi na babu
Huu ndio ujamaa. Unapikwa ugali wa jumuiya kila mmoja aje na mboga yake. Ni hapo mama kama atakupa mchicha bila mchuzi ugali utashuka kwa shida sana
Hii desturi ndiyo misingi ya upendo inapoanzia. Katika hawa watoto ukubwani huwezi kuacha kumsaidia uliekula nae sahani moja utotoni.
 
Back
Top Bottom