Abb tanelec, kilimanjaro machine tools

Abb tanelec, kilimanjaro machine tools

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,957
Reaction score
3,245
Kiltex, sungura tex,urafiki, emko soap, philips,general tyre

kama hivi viwanda vingekuwepo mpaka sasa hivi, tanzania ingekuwa wapi

jamani uzalendo umeisha? Ubinafsi umetawala

jamani ni ufisadi au kansa?

Jamani watanzania kila mfanyakazi aibe??? Vizazi vijavyo watapata nini?

Wakurugenzi, wajumbe wa bodi, mwenyekiti wa bodi
 
Back
Top Bottom